Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ndugu yangu ana Tipper naona linampa pesa ila kupata trip yeye ni kazi aliniambia alipata tabu sana mwisho wa siku alikuja kupata connection yupo Tanga mjini pale ....Anachukua mchanga na mawe kuna sehemu inaitwa maweni kiomoni kila trip analaza 90k - 100k halafu anazunguka town pale akitoka nje kidogo labda pongwe hata chaji zinaongezeka ..
Pia anaangalia back haul ya kushusha mzigo na kurudi ,mfano sehemu kama Machui ,Tongoni njia ya pangani barabara ni mbovu anachaji pesa ndefu kidogo..
Pia nimeona trip za town risk ni ndogo haswa ajali za barabara ,umbali sio mrefu kwa sana ...Kikubwa utambue mazingira ya biashara kwamba unaweza kosa wateja sometime siku umepiga trip mpaka 6 au 5 sio mbaya unaweza kukosa kabisa.
Sambamba na hilo pia ununuzi wa tipper liwe roho ngumu na jipya sio haya yenye viraka ,then fuata sheria na taratibu zote ... Mwanzoni usitegemee sna faida ya haraka kwani utakuja kata tamaa ...
Tusidanganywe hakuna mkoa watu wamelala kila sehemu watu wanajenga daily ...Pata connection wengine wanaenda kuulizia mchanga machimboni mpaka gari huko huko basi unaweza chonga na wadau then unawapa dili za kujaza na kupakua mchanga ndio maisha.
Pia anaangalia back haul ya kushusha mzigo na kurudi ,mfano sehemu kama Machui ,Tongoni njia ya pangani barabara ni mbovu anachaji pesa ndefu kidogo..
Pia nimeona trip za town risk ni ndogo haswa ajali za barabara ,umbali sio mrefu kwa sana ...Kikubwa utambue mazingira ya biashara kwamba unaweza kosa wateja sometime siku umepiga trip mpaka 6 au 5 sio mbaya unaweza kukosa kabisa.
Sambamba na hilo pia ununuzi wa tipper liwe roho ngumu na jipya sio haya yenye viraka ,then fuata sheria na taratibu zote ... Mwanzoni usitegemee sna faida ya haraka kwani utakuja kata tamaa ...
Tusidanganywe hakuna mkoa watu wamelala kila sehemu watu wanajenga daily ...Pata connection wengine wanaenda kuulizia mchanga machimboni mpaka gari huko huko basi unaweza chonga na wadau then unawapa dili za kujaza na kupakua mchanga ndio maisha.