milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
Turiani msimu wa kilimo unaanzaga mwezi wa ngapi. Na ekari moja wanalima shiling ngap
Mawazo mazuri sana ila yote yanahitaji uwepo wake..haswa no3 ila angeweza kukuza mtaji wake kidogo awe na kama 60m achukue trekta mpya kabisa na jembe lake aingie ata Turiani apo Moro uhakka wa kulaza atleast 18m kila msimu wa kulima