jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Humu ndani tumekuwa ni zaidi ya ndugu kutokana na wote kuwa na tatizo moja la kukosa ajira huku tukilalamikia kukosa mitaji lakini je unatambua kuwa unaweza usiwe na mtaji lakini ukaweza kujijengea chanell na kipato kikubwa na ukasahau kabisa kuajiriwa kama nilivyofanya mimi?
Mwaka 2012, nikiwa zangu home baada ya matokeo ya form 4,kutoka nikakutana na mzungu mmoja jina lake anaitwa Gennaro Barricelli, huwa bwana alikuwa ametokea Amsterdam ila katika maongezi nikashangaa akinambia kuwa hana nyumba wala sehemu ya kulala, basi nikajitolea nikampokea home nikawa nalala nae asubuhi tunaenda kutembea nikimuonesha maeneo mbali mbali ya jiji
katika maongezi yangu nikawa na lalamika sana kuhusu ajira huku nikiilalamikia malalamiko serikali.
Ndipo jamaa aliponielekeza fursa ambayo mpaka leo hii imenisaidia mengi na imenifanya nifahamiane na watu wengi sana duniani ishu yenyewe ni kupokea wageni mbali mbali kutoka nchi tofauti duniani (watalii), kwani wengi huwa hawajawahi kufika Tanzania hivyo hutafuta mwenyeji wa hapa Tanzania kwa ajili ya kuwatembeza sehemu mbali mbali pamoja na kuwapeleka kwenye vivutio mbali mbali kupitia site yao.
Basi akanielekeza nikajiunga na site hiyo, haikuwa ngumu kujiunga na ilikuwa ni rahisi sana. Basi nika seaech watalii ambao wanahitaji watu ambao wenyeji kwa ajili ya kuwatembeza kwa siku wakaazo kuwa Dar nikawapata
mara ya kwanza niliwapata 3, ambao walifikia gest ikawa asubuhi nawafata nawazungusha maeneo mbali mbali kama Zanzibar, Kilimanjaro, Tanga,
Bagamoyo na Dodoma kwa Tanzania gharama za safari pamoja na chakula walikuwa wanazilipa wao kama wao na siku wakiondoka nilikuwa naachia visenti kidogo mpka dola 1000, miatano.
Wale ambao nilikuwa nikiwapokea wakawa wanaenda kuelezea na wenzao na kunifanya nizidi kufahamiana na wengine zaidi, basi hali ikaendelea kuwa hivyo kiasi cha kupata wageni mpka 15kwa mwezi, wengine walikuwa wana hadhi mbali mbali kama wanafunzi, madaktari nk.
Mwaka 2012, nikiwa zangu home baada ya matokeo ya form 4,kutoka nikakutana na mzungu mmoja jina lake anaitwa Gennaro Barricelli, huwa bwana alikuwa ametokea Amsterdam ila katika maongezi nikashangaa akinambia kuwa hana nyumba wala sehemu ya kulala, basi nikajitolea nikampokea home nikawa nalala nae asubuhi tunaenda kutembea nikimuonesha maeneo mbali mbali ya jiji
katika maongezi yangu nikawa na lalamika sana kuhusu ajira huku nikiilalamikia malalamiko serikali.
Ndipo jamaa aliponielekeza fursa ambayo mpaka leo hii imenisaidia mengi na imenifanya nifahamiane na watu wengi sana duniani ishu yenyewe ni kupokea wageni mbali mbali kutoka nchi tofauti duniani (watalii), kwani wengi huwa hawajawahi kufika Tanzania hivyo hutafuta mwenyeji wa hapa Tanzania kwa ajili ya kuwatembeza sehemu mbali mbali pamoja na kuwapeleka kwenye vivutio mbali mbali kupitia site yao.
Basi akanielekeza nikajiunga na site hiyo, haikuwa ngumu kujiunga na ilikuwa ni rahisi sana. Basi nika seaech watalii ambao wanahitaji watu ambao wenyeji kwa ajili ya kuwatembeza kwa siku wakaazo kuwa Dar nikawapata
mara ya kwanza niliwapata 3, ambao walifikia gest ikawa asubuhi nawafata nawazungusha maeneo mbali mbali kama Zanzibar, Kilimanjaro, Tanga,
Bagamoyo na Dodoma kwa Tanzania gharama za safari pamoja na chakula walikuwa wanazilipa wao kama wao na siku wakiondoka nilikuwa naachia visenti kidogo mpka dola 1000, miatano.
Wale ambao nilikuwa nikiwapokea wakawa wanaenda kuelezea na wenzao na kunifanya nizidi kufahamiana na wengine zaidi, basi hali ikaendelea kuwa hivyo kiasi cha kupata wageni mpka 15kwa mwezi, wengine walikuwa wana hadhi mbali mbali kama wanafunzi, madaktari nk.