a man of wisdom
Senior Member
- Feb 1, 2017
- 183
- 151
Sawa boss nimekuelewaKufika turn over ya bil.moja sio jambo gumu ni rahisi sana. Pia sio jambo rahisi pia ni ngumu sana. Kwa kuwa.ni lazima uchangue njia mbili kuu. Mosi uandike kuhusu Bulk business, pili manufacturing industries. Shart kuu ni lazima uwekezaji ( cost of Investment) ivuke mil 500. Sasa usiwaze sana ni biashara gani pia waza how utawekeza vema, ( wise investment) ya 500mil.
Sasa boss.. tufanye hii Ni fix sasa...wewe inakuathiri nini? Acha chuki zisizo na mpango kaka, Kama huna cha kuchangia it's better to say quit [emoji57]Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni - JamiiForums
Inaelekea ww ni mpiga fix mzuri sana
Kwani kusema ww ni mpiga fix ni chuki???? Mm nasema nilichokiona. Kwa hiyo ulitaka nikupigie mapambio?? Acha tabia za wasukuma za kupendwa kusifiwaSasa boss.. tufanye hii Ni fix sasa...wewe inakuathiri nini? Acha chuki zisizo na mpango kaka, Kama huna cha kuchangia it's better to say quit [emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya boss nimekusikia, Kuna lingine?[emoji2955]Kwani kusema ww ni mpiga fix ni chuki???? Mm nasema nilichokiona. Kwa hiyo ulitaka nikupigie mapambio?? Acha tabia za wasukuma za kupendwa kusifiwa
Haya natakumia Pm Sasa hvMkuu, naomba nitoke nje ya mada.... Ebu naomba mawasiliano ya yule jini.
Kwa ukubwa wa biashara...sidhani Kama location Ni tatizo ili mradi iwe ndani ya nchi na ndio mana kanipa uhuru wa kutafuta hiyo idea, ila tu kuwepo na ushawishi wa kimantiki akaona ni wazo linalowezekana na sio bra bra, nafikiri unajua Business plan ime consist vitu gani. Na kama hilo wazo unalo unaweza kunipa few details ili tuweze kuongea Kama nitaona mwanga ktk hoja zako. Kiuchumi Ni mtu anaejiweza anafanya biashara ya pesa nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok najua businessplan inataka nini ndio. Ok ukweli kuna idea unaweza mwaga hadharani ili watu wazifanyie kazi lakini kuna idea nyingine huwez mwaga hadharani. Idea yangu bado sijaiweka katika maanKwa ukubwa wa biashara...sidhani Kama location Ni tatizo ili mradi iwe ndani ya nchi na ndio mana kanipa uhuru wa kutafuta hiyo idea, ila tu kuwepo na ushawishi wa kimantiki akaona ni wazo linalowezekana na sio bra bra, nafikiri unajua Business plan ime consist vitu gani. Na kama hilo wazo unalo unaweza kunipa few details ili tuweze kuongea Kama nitaona mwanga ktk hoja zako. Kiuchumi Ni mtu anaejiweza anafanya biashara ya pesa nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakushauri processing letsay unga au refining mafuta ya kula au the like. Ukiwa serious nicheck inbox kuhusu mafuta ya kula. Kama akiwa na mtaji ambao anaweza amuaa kuuza hata ndoo ya mafuta kwa 35000 ndo kubwa na bado akatengeza doubke profit.
Habar zenu wadau.
Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozid mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.
Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.
Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.
Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi. Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.
Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilianza kupata mawazo Kama haya...ila ni namna gani utanifanya na kwa ukubwa gani, inahitaji utafitiNiliwahi kusikiliza makala moja kwenye TV kama miaka miwili iliyopita. Ilikuwa inamhusu msichana mmoja anaitwa Dokta Makwani ambaye anafanya kilimo cha Bamia hapa hapa Dar es Salaam, na ilisemekana kuwa huwa anatengeneza angalau sh mil 2 kwa siku, kwa miezi miwili mfululizo. I guess this can be a closer match to the kind of business you are trying to imagine
Mtafute Dokta Makwani. Nadhani ni wa Muhimbili au Bugando. Baba yake alikuwaga Daktari Bingwa pale BugandoNilianza kupata mawazo Kama haya...ila ni namna gani utanifanya na kwa ukubwa gani, inahitaji utafiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara zipo nyingi sema wewe kwa mawazo yako hata ukipewa bado unaweza hitaji kujua in and out ya hyo biashara, hasara na faida na how to minimise costs, na risk management.Habar zenu wadau.
Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozid mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.
Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.
Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.
Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi. Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.
Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa boss.. tufanye hii Ni fix sasa...wewe inakuathiri nini? Acha chuki zisizo na mpango kaka, Kama huna cha kuchangia it's better to say quit [emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwaje hiyo mkuu... nataman kuifahamu zaidMkuu kama atakuw yupo tayari kuwa partners na foreigners kwenye swala la technology ni pesa ndogo sana kama faida kwa mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, baby wako hakusumbui sikuhizi??, yale mawazo yameisha, je ule mchango kwa ajili ya watumishi wa mungu waliokuwa wanakuombea uliupata? na vipi biashara yako ya nguo??Habar zenu wadau.
Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozid mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.
Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.
Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.
Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi. Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.
Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app