Biashara itakayokupa faida ya bilioni 1 kwa mwaka

Biashara itakayokupa faida ya bilioni 1 kwa mwaka

Mkuu mm wazo ninalo la biashara obvious km Anataka faida kubwa hvyo basi na mtaji anao pia nina wazo la biashara linalohitaji mtaji mrefu karibia 1b ambayo nina uhakika ndan ya mwaka mmoja anapata faida ya 1b na zaid ila kikubwa awe na mtaji wa kutosha ntatoa idea ya hyo biashara na kuframe how to run it ila mtaji tuu awe nao xx cjui naweza kutoa hilo wazo langu je na mm ntafaidika vp???
Ofcoz wazo hilo nina uhakika nalo na mifano hai ipo kbx


Karibu tuyajenge mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufika turn over ya bil.moja sio jambo gumu ni rahisi sana. Pia sio jambo rahisi pia ni ngumu sana. Kwa kuwa.ni lazima uchangue njia mbili kuu. Mosi uandike kuhusu Bulk business, pili manufacturing industries. Shart kuu ni lazima uwekezaji ( cost of Investment) ivuke mil 500. Sasa usiwaze sana ni biashara gani pia waza how utawekeza vema, ( wise investment) ya 500mil.
Sawa boss nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikaa chini ukafikiria ku import veterinary drugs nitafute tuzungumze...

Na hakika ndani ya mwaka hatojutia ku invest huko...
 
Sasa boss.. tufanye hii Ni fix sasa...wewe inakuathiri nini? Acha chuki zisizo na mpango kaka, Kama huna cha kuchangia it's better to say quit [emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kusema ww ni mpiga fix ni chuki???? Mm nasema nilichokiona. Kwa hiyo ulitaka nikupigie mapambio?? Acha tabia za wasukuma za kupendwa kusifiwa
 
Nahisi inawezekana kabisa yule jini kajibadilisha na kuwa mwenye muonekano tofauti (huyo mzee) ili usimgundue.
 
Kwa ukubwa wa biashara...sidhani Kama location Ni tatizo ili mradi iwe ndani ya nchi na ndio mana kanipa uhuru wa kutafuta hiyo idea, ila tu kuwepo na ushawishi wa kimantiki akaona ni wazo linalowezekana na sio bra bra, nafikiri unajua Business plan ime consist vitu gani. Na kama hilo wazo unalo unaweza kunipa few details ili tuweze kuongea Kama nitaona mwanga ktk hoja zako. Kiuchumi Ni mtu anaejiweza anafanya biashara ya pesa nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ukubwa wa biashara...sidhani Kama location Ni tatizo ili mradi iwe ndani ya nchi na ndio mana kanipa uhuru wa kutafuta hiyo idea, ila tu kuwepo na ushawishi wa kimantiki akaona ni wazo linalowezekana na sio bra bra, nafikiri unajua Business plan ime consist vitu gani. Na kama hilo wazo unalo unaweza kunipa few details ili tuweze kuongea Kama nitaona mwanga ktk hoja zako. Kiuchumi Ni mtu anaejiweza anafanya biashara ya pesa nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok najua businessplan inataka nini ndio. Ok ukweli kuna idea unaweza mwaga hadharani ili watu wazifanyie kazi lakini kuna idea nyingine huwez mwaga hadharani. Idea yangu bado sijaiweka katika maan
Kitu cha kwanza niliwaza kilimo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakushauri processing letsay unga au refining mafuta ya kula au the like. Ukiwa serious nicheck inbox kuhusu mafuta ya kula. Kama akiwa na mtaji ambao anaweza amuaa kuuza hata ndoo ya mafuta kwa 35000 ndo kubwa na bado akatengeza doubke profit.
Nb access ya cheap raw material ndo ishu ya msingi pili ishu ya uendeshaji mpka kufikia target ni ishu muhimu na kubwa kuliko zote.
 
Habar zenu wadau.

Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozid mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.

Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.

Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi. Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.

Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Niliwahi kusikiliza makala moja kwenye TV kama miaka miwili iliyopita. Ilikuwa inamhusu msichana mmoja anaitwa Dokta Makwani ambaye anafanya kilimo cha Bamia hapa hapa Dar es Salaam, na ilisemekana kuwa huwa anatengeneza angalau sh mil 2 kwa siku, kwa miezi miwili mfululizo. I guess this can be a closer match to the kind of business you are trying to imagine
 
Niliwahi kusikiliza makala moja kwenye TV kama miaka miwili iliyopita. Ilikuwa inamhusu msichana mmoja anaitwa Dokta Makwani ambaye anafanya kilimo cha Bamia hapa hapa Dar es Salaam, na ilisemekana kuwa huwa anatengeneza angalau sh mil 2 kwa siku, kwa miezi miwili mfululizo. I guess this can be a closer match to the kind of business you are trying to imagine
Nilianza kupata mawazo Kama haya...ila ni namna gani utanifanya na kwa ukubwa gani, inahitaji utafiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar zenu wadau.

Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozid mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.

Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.

Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi. Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.

Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara zipo nyingi sema wewe kwa mawazo yako hata ukipewa bado unaweza hitaji kujua in and out ya hyo biashara, hasara na faida na how to minimise costs, na risk management.
Watu wengine humu jf sio wapenda kutoa ushauri bali kukukatisha tamaa. Wengine hawapendi ushirikiano huo maana wanajua utafaidika peke yako.

Biashara nzuri ni zile za kununua mzgo mkubwa sana na inahitaji mtaji. Mfano ni ununuzi wa mafuta ya magari nje ya nchi, (aina zote),kuna kununua mazao na kupeleka nje ya nchi hasa zenye uhitaji wa vyakula na huwa wananunua kwa dollar, km Somalia, dubai, Yemen na nchi zingine.
Kuna ununuzi wa makontena na kukodisha hapa nchini, biashara ya ununuzi wa samaki km kuna magari ya semi ya semi trailer na yanaweza kuwa na fridge. Ununuzi wa biashara ya vitalu vya uwekezaji, na biashara zingine zinahitaji kuwa na mkataba (memorandum of understanding) ili kufanya biashara mbali mbali kama ya kupeleka nje vyakula ndo inalipa sana.

Najua kuna wengine watatoa povu badala ya ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa boss.. tufanye hii Ni fix sasa...wewe inakuathiri nini? Acha chuki zisizo na mpango kaka, Kama huna cha kuchangia it's better to say quit [emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app

~bize ya asali inalipa mapema na haina mambo mengi sana
~kupeleka mazao nje ya nchi

*au pia anzisha kanisa kama akina Kakobe na Gwaji Boy,utapiga hela Mara mia ya hio 1B


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar zenu wadau.

Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozid mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.

Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.

Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi. Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.

Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, baby wako hakusumbui sikuhizi??, yale mawazo yameisha, je ule mchango kwa ajili ya watumishi wa mungu waliokuwa wanakuombea uliupata? na vipi biashara yako ya nguo??
 
Back
Top Bottom