hakika , ndio hiyo pekee kama una mtaji wa chini ya milion 100
Nimekusoma vyema mkuuAmna wazo jipya kwnye biashara kwa siku izi kwasababu kila wazo utalofikiria lita kuwa kwnye certain business industry, business industry izoo ni kama AGRICULTURE,HOSPITALITY,RETAILING,MANUFACTURING,FINANCIAL SERVICES,ENERGY,TRANSPORTATION,CONSTRUCTION,AEROSPACE,SECURITY SERVICES zpo nying sana sitamaliza leo nikisema nizitaje zote ila ingekuwa vzuri kwa ww kama ww kuziangalia vzuri na kuchagua na kuamua utafanya ipi kati ya izoo base na determination zako arafu jaribu kufanya research iwezekanavyo get yourself close to that specific industry know everything about it then itakuw rahc kwako kuinnovate au kuja na wazo zuri base na industry husika
Wazo langu la kwanza lilikuwa ni kilimo ndio naamini inaweza kuzalisha hiyo faida endapo utaamua kuwekeza vilivyo ila ndio Sina elimu nacho sijui nianzie wap au niishie wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ukubwa wa biashara...sidhani Kama location Ni tatizo ili mradi iwe ndani ya nchi na ndio mana kanipa uhuru wa kutafuta hiyo idea, ila tu kuwepo na ushawishi wa kimantiki akaona ni wazo linalowezekana na sio bra bra, nafikiri unajua Business plan ime consist vitu gani. Na kama hilo wazo unalo unaweza kunipa few details ili tuweze kuongea Kama nitaona mwanga ktk hoja zako. Kiuchumi Ni mtu anaejiweza anafanya biashara ya pesa nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuwa makini unaposoma kitu, kuhusu faida kwa mwezi ilikuwa Ni katika ufafanuzi wa kuchanganua faida hy ya 1b kwa mwaka ikiwa katika mwezi itakuwa kiasi gani?...hata hvy bado sijapendekeza ni biashara gani inaweza kuzalisha kiasi hicho...na ndio mana nimeleta hii hoja hapa. Hvy basi swala la kilimo ni mawazo yangu tu, cjaweza kuliongelea kiundani coz....sio mtaalamu wa hayo mambo.Mpaka hapa andiko lako laonekana kuwa Ni la uwongo.
Kilimo gani upate faida Kila mwezi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Point yangu ilikuwa kumjibu mtu kwamba niko tayar kufanya kazi popote ikitegemea na aina ya biashara, na hayo ndio yalikuwa majibu yake mkuu na si vinginevyoLocation matters alot kwenye biashara.
Unaposema location unamaanisha customers.
Eg huwezi uza smart phones kijijini ukategemea upate faida ya haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nw ndio naanza kukuelewa, kwa hiyo hii inawezekana ni mtego?Kuna watu wengine wanaakili ya kukufanya umfanyie biashara ya haramu na wewe ukijua kuwa kuna sehemu au nchi ukishikwa ni kifungo au kifo
Lakini ile temptation inakuvuta na unaanza kuwaza maisha ya tofauti
Hapo unaonyeshwa kuwa unaweza kupata hizo
Ungeangalia vipindi vya BANGED UP ABROAD utajua nina maanisha nini
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Inaweza ikawa sio hii, lakini 1b kwa mwaka
Umenichekesha ujue... Watu mna vituko sana.Jaribu kufikiri nje ya "box",.
"... business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu."Habar zenu wadau.
Mimi ni mfanyabiashara wa kati, yupo mzee mmoja ni mteja wangu wa muda kidogo...kiasi Cha kuwa rafiki.
Baada ya kuniona namna ninavyofanya biashara yangu...alipenda. akanipa kazi ya kumuandalia mpango wa biashara (Business plan) yenye mtaji usiozidi mil 20, ambayo anataka kumfungulia kijana wake. Nilianza kutekeleza agizo lake ingawaje ilinichukua muda kidogo...maana hata mzee mwenyewe sio mtu wa hovyo...hivyo sikutaka kumchagulia kitu Cha hovyo hovyo...nashukuru Mungu niliamaliza na last week nimemkabidhi.
Sasa baada ya kupitia kwa makini, juzi aliniita ofisini kwake kwa ajili ya kunipa mrejesho. Kiukweli aliipenda Sana na akasema hakuamini Kama Nina weza kuwaza nje ya box kiasi kile.
Ila kilichonishangaza, amesema anataka kunipa kazi nyingine kabla hiyo haijafanyiwa utekelezaji. Kidogo alinipa mashaka kuona anaweza kunidhulumu wazo langu akalitumia bila Mimi kunufaika.
Ila aliweka wazi hana lengo la kufanya hivyo ila baada ya kusoma wazo langu amegundua Nina kitu kikubwa zaidi ya hicho.
Ananiambia nifikirie mradi utakaoweze kuzalisha faida ya 1bilioni moja ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja). Kiukweli nimewaza na kuwazua bado sijapata, Ni biashara gani hasa inaweza kuzalisha fedha nyingi kiasi hicho ndani ya hicho kipindi hicho kifupi. Yani Mil 83.3 kwa kila mwezi.
Ukizingatia hali yetu ya kiuchumi kwa hapa nchini. Naomba tupeane mawazo wadau angalau nipate hata mwanga juu ya hiyo biashara.
Sijui ana malengo gani huyu mzee..ila anaonekana yuko very serious, na business plan ya kwanza amenirudishia ili niondoe hofu juu ya kunidhulumu haki yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app