Real Estate tu
Unahitaji kuwa na madalali 20 tu ambapo kila mmoja atakupa 4M kwa mwezi hii nisawa na 80M kwa mwezi ambapo 1B kwa mwaka.
Hii ni randomly schedule tu huitaji kuwa na mtaji mkubwa, ila unahitaji............basi.
Siongei sana ila ni Real Deal.
NB: ni rahisi kupiga camission ya 10M, 20M kwenye nyumba ya 300M au 350M.
A time i'll try that project and Deal done, and tht time u'll see me on top cover of African Forbes as a youngest selfmade millionaire under 30/30.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahitaji kuwa na madalali 20 tu ambapo kila mmoja atakupa 4M kwa mwezi hii nisawa na 80M kwa mwezi ambapo 1B kwa mwaka.
Hii ni randomly schedule tu huitaji kuwa na mtaji mkubwa, ila unahitaji............basi.
Siongei sana ila ni Real Deal.
NB: ni rahisi kupiga camission ya 10M, 20M kwenye nyumba ya 300M au 350M.
A time i'll try that project and Deal done, and tht time u'll see me on top cover of African Forbes as a youngest selfmade millionaire under 30/30.
Sent using Jamii Forums mobile app