Biashara itakayokupa faida ya bilioni 1 kwa mwaka

Biashara ya kuuza watu labda au ununue timu ulaya huko
 
Afungue kiwanda cha kutengeneza nyuzi, kuanzia nyuzi za kushona Nguo, nyuzi za Masweta na nyuzi za mazulia aina zote kuna soko kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utajiri wa Tanzania upo kwenye kilimo, ukiweza kulima ama kununua mazao kwa mkulima na kupata masoko ya mazao nnje ya nchi utaweza kutengeneza kiasi kikubwa cha pesa na itakubidi kusajili kampuni ili kufanya biashara kwa ufanisi.
 
Time factor pia.. One billion business inaweza kuwa reality baada ya kama miaka 5 hivi.. Hichi kitu watu hawakiweki kwenye mzani.. Huwez anza tu ukagika 1 B ndani ya mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…