Ndugu, mawazo ya biashara yapo mengi sana. Kikubwa tuliza akili, then fanya analysis zako vizuri....utapata tu.
Kwa elimu yangu tu ndogo ya biashara. Naweza kukushauri ubase zaidi, kwenye kuformulate mradi wa kutoa huduma kwa jamii, kuliko uzalishaji wa bidhaa. Maana kwa hali ilivyo hivi sasa, huko ndiko unaweza ukafanya mambo makubwa zaidi, kuliko kwenye uzalishaji.
Kuna mradi ninao, wenyewe unahitaji Tsh 5 billion. Na actual profit yake itakuwa ni Tsh 1 billion after 4 years (operations).
But very sorry, siwezi kukupa hii project. Because soon as possible, itakuwa kwenye implementation stage.
Ila i hope you can ukiamua. Let me wish you all the best mkuu.
Sent using
Jamii Forums mobile app