Ningekushauri uende mji mmoja unaita Tete, kwa vile upo Njombe pitia boda la Kyela hadi Blantyre, pale utapita boda inaitwa Mwanza, ni jirani sana na Tete ni mwezo wa kama saa mbili.
Biashara kubwa pale Tete ni chakula kama Mchele, Unga na Maharage inalipa sana. Ukitanga kupanua biashara, nenda mji mmoja unaitwa Chimoyo maarufu sana kwa kulima ndizi na Wazimbabwe wapo wengi sana hapo, unatoka Chitanda kabla ya kufika njia panda ya kwenda Beira napo biashara hiyo inalipa sana, kwa sababu Msumbiji chakula ni tatizo, wao ni mikate mikate na wao. Nina uzoefu sana na nchi hizi za kusini mwa Jangwa la sahahara nimekaa karibia nyingi.
asante sana kakamkubwa..bigbro..na geba2013, msaada zaidi na kutoka msumbiji kuleta tanzania ipi hasa itanifaa, hii ya kupeleka chakula huko itahitaj niwe na kitu cha kurud nacho bongo, biashara ipi itafaa kutoka msumbiji kuja tanzania?
Huyu anayetaka ushauri ana msingi kiac gani?than nitamshauri ,BEM VINDO EM MOCAMBIQUE,(NAO E PARA QUEM QUER E PARA QUEM PODE)
Biashara ya kurudi nayo bongo ni meno ya ndovu kule yako mengi sana wateja bongo kibao
Biashara ya kurudi nayo bongo ni meno ya ndovu kule yako mengi sana wateja bongo kibao
Kama utakwenda Msumbiji fika kijiji cha Mavago jirani na Tunduru. Chukua ndoo za mafuta zilizotumika za kutosha. Kule hawatazinunua kwa hela ila mtabadilishana na kuku wa kienyeji wakubwa hujawahi kuwaona. Pia utaweza badilishana na mayai ya kienyeji. Mfano ndoo 1 ya lita kumi utaweza pata mayai 40 ya kuku wa kienyeji.
Kama utakwenda Msumbiji fika kijiji cha Mavago jirani na Tunduru. Chukua ndoo za mafuta zilizotumika za kutosha. Kule hawatazinunua kwa hela ila mtabadilishana na kuku wa kienyeji wakubwa hujawahi kuwaona. Pia utaweza badilishana na mayai ya kienyeji. Mfano ndoo 1 ya lita kumi utaweza pata mayai 40 ya kuku wa kienyeji.
hapo utapiga bao...watanzania pale ndio wasafirishaji wakuu jaribu hilo hutapoteza ila wanapigana fitna sana yuko maningnise na kampuni nyingine nimeisahau jina wote ni watanzania...mina nafanya gemstone kule..na watu wa kule wamelala haswa haswa miji yao hii ya pembezoni..mtipweshi ,pemba,nakala,msimbwa,nampula haya na shimoyo huko kumejaa watanzania na wanafanya vizuriMimi nina lori(semi trailer) vipi biashara ya usafirishaji huko mozambique?
Biashara iyo siijui ila kwa msumbiji watu wamelala mno mno tena watanzania wanajichumia pale kama hawa akili vizuri tena kwa biashara tofauti tofauti ...ninauzoefu napo msumbijimkuu haya mapya sasa dah!
Sijaamini bado....ndo moja mayai 40?! .....hii miujiza...sibishi kwa sababu sijawahi kufika huko ila nashindwa kuamini!
Ningekushauri uende mji mmoja unaita Tete, kwa vile upo Njombe pitia boda la Kyela hadi Blantyre, pale utapita boda inaitwa Mwanza, ni jirani sana na Tete ni mwezo wa kama saa mbili.
Biashara kubwa pale Tete ni chakula kama Mchele, Unga na Maharage inalipa sana. Ukitanga kupanua biashara, nenda mji mmoja unaitwa Chimoyo maarufu sana kwa kulima ndizi na Wazimbabwe wapo wengi sana hapo, unatoka Chitanda kabla ya kufika njia panda ya kwenda Beira napo biashara hiyo inalipa sana, kwa sababu Msumbiji chakula ni tatizo, wao ni mikate mikate na wao. Nina uzoefu sana na nchi hizi za kusini mwa Jangwa la sahahara nimekaa karibia nyingi.
Vp kuhusu Malawi?
Nipo Kyela.