Haijalishi ni biashara gani unafanya:
Ikiwa unafanya biashara kama Sole Proprietor, Kodi yako itakatwa kutokana na makadirio mliyowekeana kulingana na 'prospects' yaani unatarajiwa kupata faida kiasi gani kwa mwaka.
Kwenye hili haijalishi kama utapata faida au hasara, ulichokadiriwa lazima ULIPE.
Then, kwa Limited Liability Company unapaswa kodi utalipa ikiwa tu utapata FAIDA.
Ukipata HASARA hulipi hata MIA ila mahesabu kamili yaliyokaguliwa yanapaswa kuthibitisha hilo.