Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,103
- 1,737
Wakuu za Asubuh kumekucha! Asubuh ya Corona...Stay home Stay safe wengi watanenepa kwa utapiamlo[emoji23][emoji23]
Bila kupoteza muda ningependa kupata angalau ufafanuzi wa baadhi ya biashara ambazo zinakwenda sambamba na makato ya kodi yake kwa TRA..
1-Biashara kama ya Bar kodi ni shngap? Ni kwa mwaka kwa mwez ama inalipwaje?
2-Biashara kama ambazo unakuwa sole proprietor malipo ya kodi yanakwendaje?
3-Stationery ama sehemu ya kulipia ya Bima kodi yake inakuaje?
Na nyingne nyingi siwez kuorodhesha zote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kupoteza muda ningependa kupata angalau ufafanuzi wa baadhi ya biashara ambazo zinakwenda sambamba na makato ya kodi yake kwa TRA..
1-Biashara kama ya Bar kodi ni shngap? Ni kwa mwaka kwa mwez ama inalipwaje?
2-Biashara kama ambazo unakuwa sole proprietor malipo ya kodi yanakwendaje?
3-Stationery ama sehemu ya kulipia ya Bima kodi yake inakuaje?
Na nyingne nyingi siwez kuorodhesha zote..
Sent using Jamii Forums mobile app