Simple on looking
Senior Member
- May 27, 2014
- 100
- 34
Habari zenu Wakuu nataka kuanzisha biashara ila sina elimu yoyote kuhusiana na namna ya ulipaji wa kodi ya mapato. Kwa wenye uelewa naomba kuelimishwa kuhusiana na ulipaji wa kodi ya mapato.
Miongoni mwa maswali ninayo jiuliza ni:-
1. Ni biashara gani inayokupasa upate leseni ya biashara na ulipie kodi ya mapato?
2. Je, Unahitaji Kua na mtaji kiasi gani ili upate leseni ya biashara?
3. Kodi ya mapato inalipwaje?
4. Ni lazima leseni ya biashara kutoka TRA uipate sehemu (mf. Mkoa) unayotaraji kuanzisha biashara?.
Naomba kufahamishwa hayo na mengineyo yanayohusika na biashara na ulipaji wa kodi ya mapato.
Shukrani.[emoji120]
Miongoni mwa maswali ninayo jiuliza ni:-
1. Ni biashara gani inayokupasa upate leseni ya biashara na ulipie kodi ya mapato?
2. Je, Unahitaji Kua na mtaji kiasi gani ili upate leseni ya biashara?
3. Kodi ya mapato inalipwaje?
4. Ni lazima leseni ya biashara kutoka TRA uipate sehemu (mf. Mkoa) unayotaraji kuanzisha biashara?.
Naomba kufahamishwa hayo na mengineyo yanayohusika na biashara na ulipaji wa kodi ya mapato.
Shukrani.[emoji120]