Biashara ngumu

Rog chimera

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
398
Reaction score
706
1: "mama kulwa alifungua duka la nguo naona amepata pata,inaonekana linalipa ee?" NDIO ,LINALIPA NA WEWE FUNGUA.

2." A :Uyo mzee wa hapo juu nakwambia kaporomosha ghorofa iyo yani hatari, kwan anafanya ishu gani? B: naskia tu ni hizi biashara biashara." NDIO NI HIZO HIZO BIASHARA BIASHARA NA WEWE INGIA.

3:"Nna vi hela benki ngoja nifungue kaduka apa zizae taratibu" NDIO FUNGIA ZITAZAA TARATIBU

Lengo lako la kuingia katika ujasiriamali ni lipi?
 
Kama uliyeandika umeelewa basi inatosha.
 
Mmhh Kuna watu wamevurugwa eeee
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonekana wewe ni mangi afu kunaharamia kafungua biashara sawa Na yako afu anamtaji mkubwa ko anakupiga bingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…