Anafikiri kuagiza mzigo nje ya nchi ni suala la mchezomchezo!Nyuzi nyingine bhana, sijui watunzi huwa wanakuwa wamekula maharage ya wapi
Wanazungumza kana kwamba wote humu ndani tunae pesa. Na unakuta hata mwanzisha mada ni njaa njaa tupu
Yaani anavyozungumza, utadhani ana maisha, kumbe kula kulala kwa shemejiAnafikiri kuagiza mzigo nje ya nchi ni suala la mchezomchezo!
Hajui kwamba wengi wetu hatuzid million 8
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]maninaaa daaaaaaYaani anavyozungumza, utadhani ana maisha, kumbe kula kulala kwa shemeji
_____________
Turudi kwako, hiyo mil.8 uko nayo hapo? Au unafanya tu kuchangamsha genge?
Wewe huwa unafuata nchi gani na ni bidhaa ipi?Ukiwa n'a uwezo WA kufata bidhaa zinapotengenzwa 90%umewin kwenye biashara Tayar
Mfano kama Una uwezo WA kuchukua mzigo WA nguo kutoka china ,uturuki , Thailand n.k biashara yako itasimama
Sababu. mzigo ukishafika Tanzania unakua n'a wateja WA uhakika ,hakuna kubagein, unauza mzigo mkubwa let say PC 100 za jeans kwa wakat mmoja n.k
Any way jipige fika 20m Zama china Leta mzigo
Nipe connection ya china mkuu nataka kuchukuwa tv na redio tu sabufa wanaita.Ukiwa n'a uwezo WA kufata bidhaa zinapotengenzwa 90%umewin kwenye biashara Tayar
Mfano kama Una uwezo WA kuchukua mzigo WA nguo kutoka china ,uturuki , Thailand n.k biashara yako itasimama
Sababu. mzigo ukishafika Tanzania unakua n'a wateja WA uhakika ,hakuna kubagein, unauza mzigo mkubwa let say PC 100 za jeans kwa wakat mmoja n.k
Any way jipige fika 20m Zama china Leta mzigo
Mtaji , business plan , locationMkuu tusio kuwa na biashara yyt unatushauri tuanzie wapi!!