Biashara nzuri hapa ni ipi? Dereva wa bajaji au duka la vifaa vya umeme?

Biashara nzuri hapa ni ipi? Dereva wa bajaji au duka la vifaa vya umeme?

buyoya419

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
618
Reaction score
498
Wakuu

Nina milioni 8 hapa nimejichanga kwenye kazi za kuajiriwa,Mimi ni fundi umeme

Sasa nataka nijiajiri mwenyewe mwenyewe nimefikia makubaliano kwenye biashara hizi mbili niendeshe maisha yangu

Ninunue bajaji mpya niwe nabeba abiria kwenye vijiwe hivi vya mitaani au nifungue duka la vifaa vya umeme niwe nafanya kwa sababu nina uzoefu na maswala ya umeme

Naombeni ushauri wenu
 
Wakuu

Nina milioni 8 hapa nimejichanga kwenye kazi za kuajiriwa,Mimi ni fundi umeme

Sasa nataka nijiajiri mwenyewe mwenyewe nimefikia makubaliano kwenye biashara hizi mbili niendeshe maisha yangu

Ninunue bajaji mpya niwe nabeba abiria kwenye vijiwe hivi vya mitaani au nifungue duka la vifaa vya umeme niwe nafanya kwa sababu nina uzoefu na maswala ya umeme

Naombeni ushauri wenu
Mkuu Bajaj mpya kwa 8m uongo, used utapata hata kwa bei chini ya 8m
Ila mpaka umeweza kukusanya 8m, unaonekana uko committed sana, keep it up mkuu
 
akoWakuu

Nina milioni 8 hapa nimejichanga kwenye kazi za kuajiriwa,Mimi ni fundi umeme

Sasa nataka nijiajiri mwenyewe mwenyewe nimefikia makubaliano kwenye biashara hizi mbili niendeshe maisha yangu

Ninunue bajaji mpya niwe nabeba abiria kwenye vijiwe hivi vya mitaani au nifungue duka la vifaa vya umeme niwe nafanya kwa sababu nina uzoefu na maswala ya umeme

Naombeni ushauri wenu
Duka la vifaa vya umeme ukizingatia wewe ni fundi hivyo rahisi kupatana na mtu na vifaa ukachukua dukani kwako
 
Wakuu

Nina milioni 8 hapa nimejichanga kwenye kazi za kuajiriwa,Mimi ni fundi umeme

Sasa nataka nijiajiri mwenyewe mwenyewe nimefikia makubaliano kwenye biashara hizi mbili niendeshe maisha yangu

Ninunue bajaji mpya niwe nabeba abiria kwenye vijiwe hivi vya mitaani au nifungue duka la vifaa vya umeme niwe nafanya kwa sababu nina uzoefu na maswala ya umeme

Naombeni ushauri wenu
Kama ni fundi umeme,fungua duka la vifaa vya umeme, tafuta kijana mwaminifu au mkeo,ili wateja wakija wanataka fundi umeme unamuachs kijana,unaenda kushughulikia kufunga vifaa!
 
Chukuwa bajaji mpya hakikisha unaendesha mwenyewe nakuhakikishia baada ya mwaka pesa yako isharudi na faida juu
Asante,nanunua kwa ajiri yangu sio kumpa mtu labla kama inizalishie huko mbele nipate ya 2 ndio nimpe tu na mimi nibakie nayo hii niendeleze gurudumu
 
Duka la vifaa vya umeme ukizingatia wewe ni fundi hivyo rahisi kupatana na mtu na vifaa ukachukua dukani kwako
Asante kwa wazo hili japo nahangaika kutafuta location nzuri,kwenye location nzuri ndio kunanichanganya mpk nikafikiria bajaji maana hii location za kupiga pesa zipo kibao
 
Kama ni fundi umeme,fungua duka la vifaa vya umeme, tafuta kijana mwaminifu au mkeo,ili wateja wakija wanataka fundi umeme unamuachs kijana,unaenda kushughulikia kufunga vifaa!
Asante natamani mtaji wangu nifanye mpango niuongezee niwe na bajaji na pia duka la umeme

Napiga pesa kotekot.Dukani nikwamweka mtu mimi nasukuma bajaji likitokea dili la umeme naenda kupiga.
 
Ninataka nichukue mpya nianze nayo used nyingi siziamini,service zisije zikanisumbua za kila siku
Una taka mpya??, kwanza Kumbuka 8m ime kuja kwa kufanya kazi mda mrefu.

Kuidumbukiza yote kwa mara 1 wakati huja jua uchungu na utamu wa kazi yenyewe ni kamari nzito!.

Kheri uwekeze nusu, halafu upige kazi, mambo yaki iva una anzisha duka la vifaa vya Umeme.

Wakati uki komaa na bajaji, unaeza jikuta una ona fursa nzuri maana mtembeaji sio sawa na mlalaji.

Kwa 4m nina uhakika una pata iliyo Bomba Sana, ila uki taka mpya hadi process ziwe tayari ni 9 hapo.
 
Una taka mpya??, kwanza Kumbuka 8m ime kuja kwa kufanya kazi mda mrefu.

Kuidumbukiza yote kwa mara 1 wakati huja jua uchungu na utamu wa kazi yenyewe ni kamari nzito!.

Kheri uwekeze nusu, halafu upige kazi, mambo yaki iva una anzisha duka la vifaa vya Umeme.

Wakati uki komaa na bajaji, unaeza jikuta una ona fursa nzuri maana mtembeaji sio sawa na mlalaji.

Kwa 4m nina uhakika una pata iliyo Bomba Sana, ila uki taka mpya hadi process ziwe tayari ni 9 hapo.
4m iliyosimama ninaweza nikazipata wapi nimtafute fundi mtaani niende naye
 
Back
Top Bottom