Mginacossy
Member
- Jul 26, 2015
- 20
- 0
Hi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Dola 18 tu ebu endelea kidog mkuu utupe huo ujuzi na sisi tujaribu
Inawezekana ikawa ni kweli lakin atoe maelezo ya kutosha mkuu utpelei mwingi hapa mkuu si unajua barid kali hadi kwenye mifukoNimecheka sana kwa majibu yako, inaonekana hawa jamaa mlisha wachoka, pia wanavichwa vigum sana
Ndugu wajasiriamali wenzangu....kutokana na maendeleo ya teknolojia sasa unaweza kuongeza kipato kama mjasiriamali kwa kutumia online business kwa kutumia mtaji kidogo....dola 18 tuu yaweza kukutengenezea kipato cha kudumu kwa ajili ya kukuza biashara zako zingine...
Ah, foreverliving hao.....
Yaani...kuna kampuni inaitwa 4 corners alliance group iyo inahusika na uuzaji wa vitabu vya soft copy ambavyo ni vya ujasiriamali....kujiunga ni dola 18 ambapo dola 10 ni kwa ajili ya kununua kitabu na dola 8 ni kama registration fee...ukijiunga wewe kazi yako inakuwa ni kuinvite wengine kujiunga pia kwa kiasi hiko hiko cha dola 18.kila atakayejiunga kwako wewe km source unapata dola 4 kama faida kwako
Kivipi?
Yani Dola 18 tu ebu endelea kidog mkuu utupe huo ujuzi na sisi tujaribu
???????/?ndo niniiiiih
Wenzenu waNigeria angalau wanatumia akili za ziada kutuchuuza wewe umetumia akili ndogo mno ndo maana unapata majibu
....kivipi?
....fafanua?
....mwisho utaambulia matusi..........
Haingii kichwani kwa hali ya sasa ya uchumi wa dunia na Tanzania ikiwemo uje na uwezeshaji wa Dola 18 = TZS 36,000 ujianzishie kipato cha kudumu.
This is shit --------vinginevyo ufafanue labda nitakuelewa
Kivipi?
mpk ufikishe dola buku ni muda gani???pia hivyo vitabu vinauzwa dola ngapi?????