Ninakuja na Biashara ya Mchele huitwao MCHOPEKO, ambao nitauza kwa Sh. 2,000/kg. Katika mfumo wangu wa kuuza nitawahusisha vijana popote ulipo. Wewe kijana nitakupa 1 Kg kwa Sh. 1,600/= na utahupeleka kwa mlaji kwa Sh. 2,000/=, kwa hiyo kijana utabakia na Sh. 400/=. Haya vijana juhudi yako itakufanya ufaidike zaidi.Biashara yangu hii nimesha hiyandalia Business plan, na hivi sasa nimepatiwa mtaji wa Sh. 38.7m kutoka CRDB Plc. Kwa mujibu wa Business yangu ninatalajia kuanza mwezi wa 6, 2014. Hivi sasa nipo na wakulima uku Ulanga,Morogoro ili nipate bidha bora. Hili kuhifahamu zaidi kuhusu hii Biashara keep on intacting with me. I welcome any questions which associated to my Business..!