Hiyo sio biashara. Ni uchuuzi na haina tofauti na kuajiriwa.
Kama biashara haiwezi kusimama wakati wewe haupo, ujue ni uchuuzi. Bora hata kuajiriwa kunakuwa na mafao NSSF/PSSSF.
Walioajiriwa pia walipambana usiku na mchana kusoma ,kuvumilia magumu so hakuna tofauti. Mana na mfanyabiashara Kama yupo serious ndani ya miaka mitano unakuta analia kivulini. Sawa na msomi tu
I couldn't agree more except for sehemu ya uchawi. Hakuna uchawi ingekua mtu anaroga na kufanikiwa maskini wote wangekua matajiri maana ndo wanashinda kwa waganga Kila siku. Africa ingekua tajiri kuliko USA.
Kukwepa Kodi au kukandamiza wafanyakazi au customers is the name of the game worldwide sio bongo tu hasa wakati kampuni inajitafuta. Ukijifanya mtakatifu hutoboi abadan.
BIASHARA MCHAWI LOCATION.
Kuna vitu bado hujakutana navyo
Bakhresa yupo category ya producer/manufacturer ila wale wanaokwenda kiwandani kwake kununua bidhaa na kuuza mitaani ndio wachuuzi.Mtu anaefanyw bulk mangoes kuwa juice, mtu anaetengeneza sukari za kutosha kuhuduma zone nzima, na mengine kama hayo unawezaje kumuita mchuuzi? Tafuta maana halisi ya neno uchuuzi, mtu wa production anawezaje kuitwa mchuuzi?
Kwenye chain ya biashara & Chain ya supply, kiini huwa ni PRODUCTION sasa mtu anaehusika na production hawezi kuwa mchuuzi hata siku moja.
Eti mchuuzi[emoji23].
Sasa mbona wewe mwenye hio biashara unaajiri watu wakusaidie hizo kazi zako? Kwaio unawachukulia poa wanaofanya hio ofisi yako iende vizuri enh..Na wewe uliyeajiriwa mawazo yako yanatawaliwa na bosi wako. Aliyejiajiri anajitawala mwenyewe. Hakuna kitu kizuri kama uhuru wa kujitawala kimawazo. Hakuna tajiri aliyefanikiwa kwa kazi za kuajiriwa ila matajiri wengi walijiajiri.
Du! Mkuu umeongea kwa sauti sana. Unafanya biashara gani na huwa unaamka saa ngapi kila siku?Nimeamini ndiyo maana wafanyabiashara huwa ninawaona wachoyo hawatoi kumi yao. Biashara ina tuvimambo fulani fulani huwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee,biashara si jambo jepesi, yaani kujiajiri kwa kifupi fikiria kuamka saa 9 usiku kufata samaki Feri. Halafu kupeleka uji usiku wa manane Sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo, mlioajiriwa heshimuni wafanyabiashara aisee.
Waliojiajiri muwaite tu wachawi
maana wanayofanya ni miujiza, kwenye ajira huwezi kuta. Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home, hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
Nikki wa Pili aliwahi kutunanga sisi tulioajiriwa akatuolita sisi ni watumwa. Lakini na yeye sasahivi kaajiriwa Kisarawe.Nimeamini ndiyo maana wafanyabiashara huwa ninawaona wachoyo hawatoi kumi yao. Biashara ina tuvimambo fulani fulani huwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee,biashara si jambo jepesi, yaani kujiajiri kwa kifupi fikiria kuamka saa 9 usiku kufata samaki Feri. Halafu kupeleka uji usiku wa manane Sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo, mlioajiriwa heshimuni wafanyabiashara aisee.
Waliojiajiri muwaite tu wachawi
maana wanayofanya ni miujiza, kwenye ajira huwezi kuta. Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home, hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
Huo uhuru wa kujitawala kama huna pesa ni zaidi ya utumwa tu.Na wewe uliyeajiriwa mawazo yako yanatawaliwa na bosi wako. Aliyejiajiri anajitawala mwenyewe. Hakuna kitu kizuri kama uhuru wa kujitawala kimawazo. Hakuna tajiri aliyefanikiwa kwa kazi za kuajiriwa ila matajiri wengi walijiajiri.
Mtu anauza mifuko Karume anajiita mfanya biashara🤣🤣Du! Mkuu umeongea kwa sauti sana. Unafanya biashara gani na huwa unaamka saa ngapi kila siku?
Yeah iko hivyo, ila huwezi kusema mtu anaehusika na production (Bakharesa) eti ni mchuuzi.Bakhresa yupo category ya producer/manufacturer ila wale wanaokwenda kiwandani kwake kununua bidhaa na kuuza mitaani ndio wachuuzi.