Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,297
- 758
Salaam wadau!
Naandika kwa kifupi ili nieleweke na nisiwachoshe. Naomba wenye uzoefu na Tabora wanisaidie.
Mimi ni mtumishi ambaye nimeamishiwa huu mkoa kutoka Arusha, huko nilikuwa nafanya kazi ya Serikali lakini pia nilikiwa nafanya biashara ya duka ili kuweza ku boost uchumi wangu.
Sasa nimefika hapa nimeuza lile duka kule Arusha nikapata milioni 14 ambayo ndio mtaji nilionao ambao natafuta fursa ya kuwekeza.
Sipendi kufanya biashara kama niliyokuwa nafanya Arusha maana ni mazingira tofauti, hivyo nipo kwenye utafiti wa kuangalia niwekeze kwenye nini maana sitaki kukurupuka.
Naomba wenye uzoefu na huu mkoa mnisaidie. Ahsanteni na Mola awaepushe na corona popote mlipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naandika kwa kifupi ili nieleweke na nisiwachoshe. Naomba wenye uzoefu na Tabora wanisaidie.
Mimi ni mtumishi ambaye nimeamishiwa huu mkoa kutoka Arusha, huko nilikuwa nafanya kazi ya Serikali lakini pia nilikiwa nafanya biashara ya duka ili kuweza ku boost uchumi wangu.
Sasa nimefika hapa nimeuza lile duka kule Arusha nikapata milioni 14 ambayo ndio mtaji nilionao ambao natafuta fursa ya kuwekeza.
Sipendi kufanya biashara kama niliyokuwa nafanya Arusha maana ni mazingira tofauti, hivyo nipo kwenye utafiti wa kuangalia niwekeze kwenye nini maana sitaki kukurupuka.
Naomba wenye uzoefu na huu mkoa mnisaidie. Ahsanteni na Mola awaepushe na corona popote mlipo.
Sent using Jamii Forums mobile app