Biashara United aliwafunga hao waarabu Koko wakiwa wamoto vibaya mno,Leo nyie mnawafunga wakiwa wamejichokea mnashangalia



YULE JAMAA MPEMBA ALIYEKUINGIZA MJINI BADO UPO NAYE? SIKU HIZI HAKUTUMII KABISA? MAANA NLISOMA KUWA MPEMBA ALIKUPEMBUA.
 
Timu zenye mfanano na Zalani , Malumo kama CBE na Vital'o zimeshaenguliwa na zilizobaki Kwenye Makundi ni Timu Kweli...!

Sasa, Sijui itakuwaje wale Wazee...!
Huku Lunyasi Kuna Damu changa,ndo Kwanza Gemu Walitaka....
Mmesahau mara hii kuwa Yanga ilipangwa na Al Ahly, Belouizdad na Medeama na Yanga ikafuzu. Katika kikosi cha msimu uliopita hakuna mchezaji hata mmoja aliyeachwa wa kikosi cha kwanza.
 
We mleta mada umeanza kuipenda yanga kipindi umeingia mjini ulivyokuta shemeji yako ni shabiki wa yanga na wewe ukawa ni yanga wewe na mpila wapi na wapi rejea hadithi zako ulizowai kuleta hakuna hata moja umeingumzia yanga zaidi ni mpenzi wa arsenal jezi zao nyekundu haya we ulikuwa yanga kweli?
 
Technically bila upendeleo wowote Yanga ingecheza na timu iliyocheza na simba leo, Yanga wangefungwa siyo chini ya goli 5
Mkuu bange sio nzuri kwa afya ya akili haswa ukivuta chooni pasipokua na bati.
 
Mleta uzi huu, huwa ninaamini kuwa, ni mmoja wa AKILI KUBWA hapa JF. Zile hadithi zake hapa JF, zilikuwa zinanifanya nisilale kwa muda stahili, kwa jinsi nilivyokuwa ninazifuatilia.
Cha kushangaza sasa, likija suala la "KI YANGA YANGA", michango yake, inathibitisha kabisa yale maneno ya Haji Manara kuwa, Mwana Yanga, hata awe na akili kwa kiwango gani, ni msomi na ana wadhifa wa aina gani, likija suala la Yanga, basi anakuwa HAMNAZO! Fuatilia MICHANGO YAO!
 
Ukiwa Gongowazo automatically akili zinakuwa kama za kuku.
 
Mmemalizana na CBE mtakutana na IFM, UDOM, UDSM sasa 🀣🀣🀣
 
Timu zenye mfanano na Zalani , Malumo kama CBE na Vital'o zimeshaenguliwa na zilizobaki Kwenye Makundi ni Timu Kweli...!

Sasa, Sijui itakuwaje wale Wazee...!
Huku Lunyasi Kuna Damu changa,ndo Kwanza Gemu Walitaka....
CBE waliwatoa Villa mabingwa wa Uganda na hao wazee ni mabingwa wa Tanzania waliozifunga timu zote Tanzania .
 
Mabululu mmoja ni kikosi kizima.cha utopolo na chenji juu....πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…