Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,033
Nashauri tuache siasa tuisaport Biashara unitedKama mdau wa michezo na mshabiki wa mpira wa miguu na Mwenyeji wa Mkoa wa Mara nachukua nafasi hii ya kuwaunganisha mashibiki wote wa Biashara united ( Mara) ambayo ni timu yetu pekee inayoiwakilisha Mkoa Mara.
Pia nachukua nafasi hii kuipongeza timu yetu kwa kuanza na ushindi wa kuifunga Singida united goli 1 kwa 0 kwa mechi yao ya kwanza ugenini katika ufunguzi wa ligi kuu Tanzania
Halafu Mkuu kama ulipita JB primary school nahisi tutakua tunafahamiana....
Hapana mkuu, mimi ni ni wale first born wa Paroma.Halafu Mkuu kama ulipita JB primary school nahisi tutakua tunafahamiana....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu za SodaNaiona Biashara united ya mara ikiangusha utawala wa simba na yanga....
Wana Mara tuungane sote kui support timu yetu ya Mara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Inafaa yule mwenye GPA 32 akapewa Uafisa Habari wa hii Timu.Tu support team yetu wana Mara wenzangu nina imani itafika mbali sana,ni suala la muda tu na kujitoa,naiona Mara mpya!!.Big up
- Kurya
- Jita
- Ikizu
- Zanaki
And other warriors tribes,together we can!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Paroma na Mimi pia paromaHapana mkuu, mimi ni ni wale first born wa Paroma.
Ila inawezekana tunafahamiana, mji mdogo ule!
Sent using Jamii Forums mobile app