W wazunguwawili JF-Expert Member Joined May 29, 2019 Posts 3,984 Reaction score 4,132 Oct 15, 2021 #421 Kwa hiyo leo Yanga wamefurahia tang'ana said: Wachezaji wa hii timu wana spirit ya ushindi sana.ingawa naskia ni tawi la yanga hili. Click to expand...
Kwa hiyo leo Yanga wamefurahia tang'ana said: Wachezaji wa hii timu wana spirit ya ushindi sana.ingawa naskia ni tawi la yanga hili. Click to expand...
tyc JF-Expert Member Joined Feb 25, 2014 Posts 1,179 Reaction score 2,971 Oct 16, 2021 #422 Hongereni sana wanajeshi wa mpakani kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania Hili ni funzo kubwa sana kwa Chura fc
Hongereni sana wanajeshi wa mpakani kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania Hili ni funzo kubwa sana kwa Chura fc
M mmteule JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 5,883 Reaction score 14,600 Oct 16, 2021 #423 Nashauri BIASHARA UNITED wapewe bejji ya VISIT SERENGETI, Maaana kuna wakubwa fulani wamepewa Mchongo wa VISIT KILIMANJARO dili likawa Dirisha.
Nashauri BIASHARA UNITED wapewe bejji ya VISIT SERENGETI, Maaana kuna wakubwa fulani wamepewa Mchongo wa VISIT KILIMANJARO dili likawa Dirisha.
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Oct 16, 2021 #424 Frank Wanjiru said: Inafaa yule mwenye GPA 32 akapewa Uafisa Habari wa hii Timu. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wanjiruu wanjiruuu huyo mwenye GPA hyo ndo amekua msemaji wa nyie utopolo sasa hivi amekua mzungu sio tena muwarabu wa nguruka. Ha Ha HA HAaaaaaaa
Frank Wanjiru said: Inafaa yule mwenye GPA 32 akapewa Uafisa Habari wa hii Timu. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wanjiruu wanjiruuu huyo mwenye GPA hyo ndo amekua msemaji wa nyie utopolo sasa hivi amekua mzungu sio tena muwarabu wa nguruka. Ha Ha HA HAaaaaaaa
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Oct 16, 2021 #425 Kalpana said: Wanjiruu wanjiruuu huyo mwenye GPA hyo ndo amekua msemaji wa nyie utopolo sasa hivi amekua mzungu sio tena muwarabu wa nguruka. Ha Ha HA HAaaaaaaa Click to expand... Teh teh teh kweli meza imepinduka Sent using Jamii Forums mobile app
Kalpana said: Wanjiruu wanjiruuu huyo mwenye GPA hyo ndo amekua msemaji wa nyie utopolo sasa hivi amekua mzungu sio tena muwarabu wa nguruka. Ha Ha HA HAaaaaaaa Click to expand... Teh teh teh kweli meza imepinduka Sent using Jamii Forums mobile app