Biashara United (Mara) | Special Thread

Binafsi nimefarijika kusikia matokeo ya timu yangu naiona Mara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"E="kuku mweus, post: 28068553, member: 490171"]Wataanza kutoa kejeli kama hawatakua wanashirikishwa
Afu kibaya wengi ni wajita majungu tupu



Hasa yule Mwalimu aliye ipandisha, japo amepewa nafasi katika bench la ufundi, lakini anaonekana hakubaliani na hilo, asipo dhibitiwa ataanza kuingilia majukumu ya Mwalimu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…