kuku mweus
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 765
- 603
Binafsi nimefarijika kusikia matokeo ya timu yangu naiona MaraKama mdau wa michezo na mshabiki wa mpira wa miguu na Mwenyeji wa Mkoa wa Mara nachukua nafasi hii ya kuwaunganisha mashibiki wote wa Biashara united ( Mara) ambayo ni timu yetu pekee inayoiwakilisha Mkoa Mara.
Pia nachukua nafasi hii kuipongeza timu yetu kwa kuanza na ushindi wa kuifunga Singida united goli 1 kwa 0 kwa mechi yao ya kwanza ugenini katika ufunguzi wa ligi kuu Tanzania
Wataanza kutoa kejeli kama hawatakua wanashirikishwaBiashara, kitakacho tukwamishe ni Majungu ya chini chini, hasa kwa baadhi ya viongozi walio shiriki kuipandisha Ligi kuu
Mchawi kwa hizi Timu ndogo ni hela tuu sio kingineBiashara, kitakacho tukwamishe ni Majungu ya chini chini, hasa kwa baadhi ya viongozi walio shiriki kuipandisha Ligi kuu