kuku mweus
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 765
- 603
Mnafiki sana yule jamaaMnyama Garibona aliyekuwa Mwalimu Bweri Day (Morembe)?...kama ndie amsalimu komredi Mzee Mwenzangu Mkoba ingawa nasikia alihamishiwa Kasoma Sec, kule Majita!
Ha ha ha ha ha fafanua!
Atashuka bibi yako boya wewe.hawa lazima washuke daraja na chama kubwa la yanga ndo litalowashusha daraja
Sent using Jamii Forums mobile app
Haifiki kokote.....Itabidi nianze kuifuatilia timu hii ya hometown maana tulikosa uwakilishi kwa muda sana tukaishia kushangilia za wenzetu
Naona tumerudi wana Mara
Ana wivu anataka yeye ndo apewe sifa kuwa kaipandisha BUFCHa ha ha ha ha fafanua!
[emoji2] [emoji2] nyabhatimbaru mapongo hawawezi kubalihope tuwe tunaenda uwanjani na vitu zetu za asili kama ritungu,rirndi,kighogho,mbeghete,madogoli na nyabhatimbaru
Hivi hizi akili mbovu huwa mnazitoa wapi?.when you are driven by intuition and instinct you totally loose the sense of being an intellectual.
Acheni kutuharibia timu aisee,mbona mnatanguliza UKABILA sana,kwani timu haiwezi kusimama bila kuhusishwa na KABILA,mnataka kutambikia?.
MjitaHivi hizi akili mbovu huwa mnazitoa wapi?.when you are driven by intuition and instinct you totally loose the sense of being an intellectual.
Timu inaitwa BIASHARA MARA,ile si timu ya Wajaluo,Wajita,Wakurya,Wasimbiti,Wazanaki na si timu ya kabila lolote liliko ndani ya Mkoa wa Mara wala nje ya mkoa.
Hii ni Timu ya Wapenzi wote wa mpira wa miguu na michezo kwa ujumla.
Huu ukabila wa ujinga mnaoanzisha ndo maana mnakwamisha maendeleo ya michezo.
Think critically;
IF YOU CAN'T HELP THEM DO NOT HURT THEM,LET THEM GROW.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikwambia Akili yako si njema nitakua nakosea,wewe una matatizo si mzima kabisa,unataka kuharibu huu Uzi na kufanikiwa kwa timu kwa ujumla!!.
Punguza povu,soma Uzi wote then angalia komenti za wachangiaji wanaojiita wenye Timu wanavyowasema vibaya WajitaAcheni kutuharibia timu aisee,mbona mnatanguliza UKABILA sana,kwani timu haiwezi kusimama bila kuhusishwa na KABILA,mnataka kutambikia?.
Vipi SINGIDA UNITED,ni ya Wanyiramba au Wanyaturu?.kwanini mnataka kutufanya tuonekane wajinga tusioeleweka?.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ila Mkuu tuache ukabila aisee tuipe support timu yetu independently from tribalism, tutawavutia wengine pia kutusapoti!!.
Ukabila ndio mzuri kwa hiyo timu, kipindi cha kwanza wacheze Wajita na cha pili Wakurya[emoji1] [emoji1] [emoji1] ila Mkuu tuache ukabila aisee tuipe support timu yetu independently from tribalism, tutawavutia wengine pia kutusapoti!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel mkuu zile zilikuwa jokes afu nilikuwa namjibu punda fulan hivi alieanzidha hiyo mada[emoji1] [emoji1] [emoji1] ila Mkuu tuache ukabila aisee tuipe support timu yetu independently from tribalism, tutawavutia wengine pia kutusapoti!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
We c unakula ugoroUkabila ndio mzuri kwa hiyo timu, kipindi cha kwanza wacheze Wajita na cha pili Wakurya
Sent using Jamii Forums mobile app