Biashara United wamekwama tena kifedha. Mkuu wa mkoa yuko wapi?

Biashara United wamekwama tena kifedha. Mkuu wa mkoa yuko wapi?

Mpira Pesa,
Asante MO Dewji kwa kuifanikisha Simba Sports Club.
Nimetambua kwanini maadui wa Simba hawakupendi.
Nje ya pesa hao vingozi wa biashara ni wababaishaji team za Zanzibar zinaweje kusafiri wao washindwe kuna kitu wana kwama nje ya pesa na hawataki kuomba ushauri
 
20211023_074927.jpg
 
Ukisoma mawazo ya Wana simba utacheka sana, mara hii wanasahau makonda aliwahi wahaidi KMC fedha mechi ya yanga na wakapewa 20m

Makonda alikuwa mnazi wa simba, na yote akifanya kuishusha yanga leo kwao Wana Lia Lia kama watoto wa kambo kwamba tunakaniwa, tutavunjwa miguu hahahaha hii timu ndo maana hadi mwamedi akipigwa kdg anaizira
 
Ukisoma mawazo ya Wana simba utacheka sana, mara hii wanasahau makonda aliwahi wahaidi KMC fedha mechi ya yanga na wakapewa 20m

Makonda alikuwa mnazi wa simba, na yote akifanya kuishusha yanga leo kwao Wana Lia Lia kama watoto wa kambo kwamba tunakaniwa, tutavunjwa miguu hahahaha hii timu ndo maana hadi mwamedi akipigwa kdg anaizira
Walituumizia wachezaji wetu wanne muhimu.
Tena kuumizwa kwa kushindwa huhudhuria programu za kocha kwa muda mrefu na Simba ipo Club bingwa.
Kama pesa wapewe tu na wacheze mpira wa wazi sio tatizo.
Wewe unajua mchango wa Simba kwenye soka la Tanzania.
Narudia tena, kupewa pesa za motisha ni swala la kawaida.
Shida ni hiyo.
 
Walituumizia wachezaji wetu wanne muhimu.
Tena kuumizwa kwa kushindwa huhudhuria programu za kocha kwa muda mrefu na Simba ipo Club bingwa.
Kama pesa wapewe tu na wacheze mpira wa wazi sio tatizo.
Wewe unajua mchango wa Simba kwenye soka la Tanzania.
Narudia tena, kupewa pesa za motisha ni swala la kawaida.
Shida ni hiyo.
Wachezaji wenyewe legelege wale ulitaka wasiumie

Kwamba huo mchezo haukuwa na refa watu wanaumizwa makusudi refa amekaa tu
Acheni lawama za kitoto toto, wawa huwa anawachezea hovyo wenzake (tena makusudi) na TFF na marefa hukaa kimya nani amewah lalamika

Wajengeni wachezaji wenu wawe na stamina sio vile wachezaji laini hata wapemba Wana nafuu
 
Wachezaji wenyewe legelege wale ulitaka wasiumie

Kwamba huo mchezo haukuwa na refa watu wanaumizwa makusudi refa amekaa tu
Acheni lawama za kitoto toto, wawa huwa anawachezea hovyo wenzake (tena makusudi) na TFF na marefa hukaa kimya nani amewah lalamika

Wajengeni wachezaji wenu wawe na stamina sio vile wachezaji laini hata wapemba Wana nafuu
Wachezaji wanne waliumia na kukosa mechi nyingi muhimu sijui kama unaelewa.
Kama motisha na wapewe tu haina tatizo sijui kama unaelewa

Ulegelege wa wachezaji si hoja ya kiufundi mpira sio boxing wala mieleka.

Wachukue pesa ila wachezaji wetu ni lazima walindwe tuna mashindano muhimu
 
Wachezaji wanne waliumia na kukosa mechi nyingi muhimu sijui kama unaelewa.
Kama motisha na wapewe tu haina tatizo sijui kama unaelewa

Ulegelege wa wachezaji si hoja ya kiufundi mpira sio boxing wala mieleka.

Wachukue pesa ila wachezaji wetu ni lazima walindwe tuna mashindano muhimu
Unaijua kazi ya refa uwanjani
 
Unaijua kazi ya refa uwanjani
Emeelewa nilicho andika kweli. Refa ndiye anayefanya faulo uwanjani ?
Tuna mechi muhimu tunawahitaji wachezaji wakiwa na afya njema ili tutimize malengo yetu.

Ni ruksa kuwapa wachezaji motisha ya ushindi.
Motisha hizo zinapelekea baadhi ya wachezaji kuacha kucheza mpira na kuumiza wachezaji wa timu pinzani.
Hilo ndilo tunalo likemea. Kennedi kakosa mechi mbili muhimu, Sakho hadi muda huu bado majeruhi, Unyango bado majeruhi, Kannute kapona, Kapombe kapona. hao wote wameumiza katika mechi mbili tu za ligi.

Hivi we unaelewa kweli au ni shabiki oya oya ?
 
Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Umeandika kimbea sana dogo
 
Emeelewa nilicho andika kweli. Refa ndiye anayefanya faulo uwanjani ?
Tuna mechi muhimu tunawahitaji wachezaji wakiwa na afya njema ili tutimize malengo yetu.

Ni ruksa kuwapa wachezaji motisha ya ushindi.
Motisha hizo zinapelekea baadhi ya wachezaji kuacha kucheza mpira na kuumiza wachezaji wa timu pinzani.
Hilo ndilo tunalo likemea. Kennedi kakosa mechi mbili muhimu, Sakho hadi muda huu bado majeruhi, Unyango bado majeruhi, Kannute kapona, Kapombe kapona. hao wote wameumiza katika mechi mbili tu za ligi.

Hivi we unaelewa kweli au ni shabiki oya oya ?
Nafikiri wewe ndo huelewi mkuu nakuuliza kazi ya refa ni nini wewe unaitoa maelezo kibao

Basi nakubadirishia swali kazi ya kadi ni nn uwanjani?

Una mechi muhimu unawahitaji wachezaji mbona rahisi tu waweke nje kusubiri mechi muhimu (mbona ulaya wanafanya hivyo) hutaki waumie alafu unawachezesha mechi isiyo muhimu mkuu unaongea mambo gani?

Unadhani mpira ni rede ile, Hadi kutaka watu wasiumie kwamba wasikabwe ama Wakabwe ki mayai kwa kuwa mna mechi muhimu hahahahahaha we jamaa unachekesha sana
 
Nafikiri wewe ndo huelewi mkuu nakuuliza kazi ya refa ni nini wewe unaitoa maelezo kibao

Basi nakubadirishia swali kazi ya kadi ni nn uwanjani?

Una mechi muhimu unawahitaji wachezaji mbona rahisi tu waweke nje kusubiri mechi muhimu (mbona ulaya wanafanya hivyo) hutaki waumie alafu unawachezesha mechi isiyo muhimu mkuu unaongea mambo gani?

Unadhani mpira ni rede ile, Hadi kutaka watu wasiumie kwamba wasikabwe ama Wakabwe ki mayai kwa kuwa mna mechi muhimu hahahahahaha we jamaa unachekesha sana
Wachezaji wa Simba wanafanyiwa faulo za makusudi kwa sababu wapinzani wao wanalazimisha ushindi ili wachukue zawadi walizo ahidiwa.
Refa hazuii faulo bali anatoa adhabu kama ile redi kadi aliyopewa aliyemuumiza Kennedi Juma.
Nadhani hapa umeelewa.
 
Wachezaji wa Simba wanafanyiwa faulo za makusudi kwa sababu wapinzani wao wanalazimisha ushindi ili wachukue zawadi walizo ahidiwa.
Refa hazuii faulo bali anatoa adhabu kama ile redi kadi aliyopewa aliyemuumiza Kennedi Juma.
Nadhani hapa umeelewa.
Kama faulo ni za makusudi na mbaya adhabu inajulikana ni red card na timu itacheza pungufu na itakuwa ni faida kwa simba sasa hapa unalalamika nn

Ingekuwa anachezewa faulo na hakuna kadi hapo sawa
 
Kama faulo ni za makusudi na mbaya adhabu inajulikana ni red card na timu itacheza pungufu na itakuwa ni faida kwa simba sasa hapa unalalamika nn

Ingekuwa anachezewa faulo na hakuna kadi hapo sawa
Halafu mechi zinazofuata atacheza nani ?
We jamaa utakuwa shabiki wa Yanga tu.
Unakumbuka Manara alivyowaambia kuwa wenye akili ni wawili tu.
Unamkumbuka kocha Lucy Ame alivyo waita ?

Nani anataka kucheza na watu pungufu ?
Nani anataka kuumiziwa wachezaji wake muhimu ?
 
Halafu mechi zinazofuata atacheza nani ?
We jamaa utakuwa shabiki wa Yanga tu.
Unakumbuka Manara alivyowaambia kuwa wenye akili ni wawili tu.
Unamkumbuka kocha Lucy Ame alivyo waita ?

Nani anataka kucheza na watu pungufu ?
Nani anataka kuumiziwa wachezaji wake muhimu ?
Hahahaha atacheza nani yaani unauliza swali kama mtoto wa darasa la 3

Kwani usajili wa kikosi ni watu wangap?

Nani alikuwa anatamba kuwa na kikosi kipana kinacho weza cheza mechi 2 kwa wakati mmoja

Hahahahaha! Yaani we jamaa ni mbumbumbu fc
 
Hahahaha atacheza nani yaani unauliza swali kama mtoto wa darasa la 3

Kwani usajili wa kikosi ni watu wangap?

Nani alikuwa anatamba kuwa na kikosi kipana kinacho weza cheza mechi 2 kwa wakati mmoja

Hahahahaha! Yaani we jamaa ni mbumbumbu fc
Mchezajia akiumia watoto wake utawalisha wewe?
Yaani kukosa ubingwa misimu minne tu, umeondoa kabisa utu wa kibinadamu kwa binadamu mwenzako.
 
Ukisoma mawazo ya Wana simba utacheka sana, mara hii wanasahau makonda aliwahi wahaidi KMC fedha mechi ya yanga na wakapewa 20m

Makonda alikuwa mnazi wa simba, na yote akifanya kuishusha yanga leo kwao Wana Lia Lia kama watoto wa kambo kwamba tunakaniwa, tutavunjwa miguu hahahaha hii timu ndo maana hadi mwamedi akipigwa kdg anaizira
Makonda alifanya nini kuishusha Yanga ?

KMC ni timu ya Manispaa ya Kinondoni Makonda alikuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwahiyo alikuwa anawajibika kuhudumia timu ya mkoa wake .
 
Back
Top Bottom