white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Mwanzoni hawakusema, ila ukweli ulikuja julikana badaye, kwani hao walibya walikuja vipi?eti wamekosa ndege, ndege ya serikali unapewa bure?hizo zaidi ya milioni 200, za kukodi ndege si ungekuwa mzigo mkubwa sana kwao?kifupi michuano hiyo haitaki uwe na pesa za kuunga ungaWalisema Kama hawana nauli.wachangiwe?.
ni siku ngapi zimepita kabla ya mechi!
wangepewa hata ndege ya serikali.kwa hatua waliyofikia walikuwa wana dhaminika