Mwanzoni hawakusema, ila ukweli ulikuja julikana badaye, kwani hao walibya walikuja vipi?eti wamekosa ndege, ndege ya serikali unapewa bure?hizo zaidi ya milioni 200, za kukodi ndege si ungekuwa mzigo mkubwa sana kwao?kifupi michuano hiyo haitaki uwe na pesa za kuunga unga