Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
Wanajamii,
Kanye West juzi katambulisha nyimbo mpya "New Slave" kutoka albamu ya Yeezus itatoka June 18,katika nyimbo hiyo kuna Bars kama;
Meanwhile the DEA/
Teamed up wit the CCA/
They tryna to lock N****s up/
They tryna to make new slaves/
See that's a private owned prison/
Get your piece today
CCA ni Correction Corperation of America,anasema hizo Prison Industrial system na DEA wanashirikiana katika kukamata na kuwafunga watu weusi wa Amerika,kwamba imekuwa ni biashara inayofanywa na hawa watu ili kupata "Cheap labor" ndo maana wengi wanapewa "double digits sentence"akitoka uko ameshazalisha vya kutosha!
Pia Yeez kaliongea kwenye "Crack Music",Immortal Technique-Peruvian Cocaine,na Raptivist wengine kama KRS-One,Cunninlyngnists,Dead Prez-Thats War na Know your Enemy,Lupe fiasco,X-Clan,Talib Kweli,Killer Mike kwenye nyimbo "Reagan" ya 2012 anasema;
Thanks to Reagonomics,prisons turned to profits/
Because free labor is the cornerstone of U.S economics/
Cause Slavery is abolished unless you are in Prison/
You think am b****ing then read the 13th Ammendment/
Involuntary servitude and Slavery it prohibits/
That's why they giving drug offenders time in double digits
Imekuwa ikisemwa muda mrefu kwamba biashara ya usafirishaji madawa ya kulevywa inafadhiliwa na Marekani kupitia shirika lake la kijasusi CIA tukiangalia kama ile "Watch Tower missions" ambayo CIA na MOSSAD kwa kushirikana na Colonel Manuel Noriega mpaka alipokuja kuuawa walikuwa wanafanya usafirishaji wa madawa kutoka Bogota to Panama to U.S,kuna ops kama"Golden Triangle of southeast Asia and Pakistan", hizi pesa zilienda kuweka kwenye mabenki Panama,Switzerland na US
The Huffington Post kwenye article ya tarehe 18 April 2013 yenye kichwa:The drug war and mass incarceration by numbers wanasema idadi ya watu waliofungwa mpaka mwaka 2010 ni milioni 2.2 na idadi hiyo NUSU yake(50perc) ni AFRICAN-AMERICAN!
Chat waliotoa American Civil Liberities Union inaonyesha idadi ya Wafungwa wa kesi za madawa inazidi kuongezeka kila mwaka,japo inasemekana idadi kubwa ya Wauzaji na watumiaji wa madawa hayo ni White people!
--Je,ni kweli Serikali ya Marekani na Magereza wanafaidika na hii "cheap labor"?,ni aina mpya ya Slavery kutoka kwa individual Slaveholders to Governments na Collectives nyingine zenye authority to lock people up(refer 13 ammendment)?!
--Kama CIA ndo wanashiriki katika hii Biashara na Serikali inatumia zaidi ya $51 bilion kwa mwaka,walipakodi wa Marekani wametumia zaidi ya $1 trilion kupambana na madawa ya kulevya yanayoingizwa na shirika lao la kijasusi!,ni kweli kuna kupambana na madawa ya kulevya au wanapambana na jamii ya watu weusi ili tu waende Magerezani kuwazalishia?
Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaofungwa kwa Kesi hizo ni Watu weusi??!
Nawasilisha nimeshindwa kuweka link ila nitajitahidi niziweke
Kanye West juzi katambulisha nyimbo mpya "New Slave" kutoka albamu ya Yeezus itatoka June 18,katika nyimbo hiyo kuna Bars kama;
Meanwhile the DEA/
Teamed up wit the CCA/
They tryna to lock N****s up/
They tryna to make new slaves/
See that's a private owned prison/
Get your piece today
CCA ni Correction Corperation of America,anasema hizo Prison Industrial system na DEA wanashirikiana katika kukamata na kuwafunga watu weusi wa Amerika,kwamba imekuwa ni biashara inayofanywa na hawa watu ili kupata "Cheap labor" ndo maana wengi wanapewa "double digits sentence"akitoka uko ameshazalisha vya kutosha!
Pia Yeez kaliongea kwenye "Crack Music",Immortal Technique-Peruvian Cocaine,na Raptivist wengine kama KRS-One,Cunninlyngnists,Dead Prez-Thats War na Know your Enemy,Lupe fiasco,X-Clan,Talib Kweli,Killer Mike kwenye nyimbo "Reagan" ya 2012 anasema;
Thanks to Reagonomics,prisons turned to profits/
Because free labor is the cornerstone of U.S economics/
Cause Slavery is abolished unless you are in Prison/
You think am b****ing then read the 13th Ammendment/
Involuntary servitude and Slavery it prohibits/
That's why they giving drug offenders time in double digits
Imekuwa ikisemwa muda mrefu kwamba biashara ya usafirishaji madawa ya kulevywa inafadhiliwa na Marekani kupitia shirika lake la kijasusi CIA tukiangalia kama ile "Watch Tower missions" ambayo CIA na MOSSAD kwa kushirikana na Colonel Manuel Noriega mpaka alipokuja kuuawa walikuwa wanafanya usafirishaji wa madawa kutoka Bogota to Panama to U.S,kuna ops kama"Golden Triangle of southeast Asia and Pakistan", hizi pesa zilienda kuweka kwenye mabenki Panama,Switzerland na US
The Huffington Post kwenye article ya tarehe 18 April 2013 yenye kichwa:The drug war and mass incarceration by numbers wanasema idadi ya watu waliofungwa mpaka mwaka 2010 ni milioni 2.2 na idadi hiyo NUSU yake(50perc) ni AFRICAN-AMERICAN!
Chat waliotoa American Civil Liberities Union inaonyesha idadi ya Wafungwa wa kesi za madawa inazidi kuongezeka kila mwaka,japo inasemekana idadi kubwa ya Wauzaji na watumiaji wa madawa hayo ni White people!
--Je,ni kweli Serikali ya Marekani na Magereza wanafaidika na hii "cheap labor"?,ni aina mpya ya Slavery kutoka kwa individual Slaveholders to Governments na Collectives nyingine zenye authority to lock people up(refer 13 ammendment)?!
--Kama CIA ndo wanashiriki katika hii Biashara na Serikali inatumia zaidi ya $51 bilion kwa mwaka,walipakodi wa Marekani wametumia zaidi ya $1 trilion kupambana na madawa ya kulevya yanayoingizwa na shirika lao la kijasusi!,ni kweli kuna kupambana na madawa ya kulevya au wanapambana na jamii ya watu weusi ili tu waende Magerezani kuwazalishia?
Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaofungwa kwa Kesi hizo ni Watu weusi??!
Nawasilisha nimeshindwa kuweka link ila nitajitahidi niziweke