Biashara ya agrovet

Biashara ya agrovet

Tangaone

Senior Member
Joined
May 6, 2013
Posts
142
Reaction score
53
Wadau naombeni msaada nafikiria kuanzisha agrovet amboni tanga kuna wakulima wa mboga na wafugaji wa ng'ombe naombeni mchanganuo wa mtaji na essential vibali ambavyo lazma niwe navyo mwenye idea naomba msaada
 
Back
Top Bottom