Biashara ya Alzeti

Hiyo namba sita sijakupata vyema.

#MaendeleoHayanaChama
Oooh namaanisha ivi Mkuu Yani pindi mafuta yanavyo chujwa Kuna mabaki pamoja na vumbi huwa zinagandia kwenye kitambaa ambacho kina chuja ayo mafuta sasa ayo mabakia yanakuwa na mafuta so wanakadilia kila gunia la 70kg huwa liter 1-1.5 Zina bakia kwenye icho kitambaa Cha kuchujia mafuta kwaiyo ukikamua liter 22 baada ya kuchuja utapata liter 21
 
Mkuu umepigwaje kwenye mpunga na mahindi kwa kukaa navyo? Share uzoefu wako tafadhali, maana Huwa navutiwa kufanya hivyo
 
Mkuu umepigwaje kwenye mpunga na mahindi kwa kukaa navyo? Share uzoefu wako tafadhali, maana Huwa navutiwa kufanya hivyo
Ndugu biashara ya mahindi ni biashara kichaa unaweza ukanunua mahindi kwa 35,000 alaf kesho unasikia 20,000 mara 45,000 yaan ni kama forex vile alaf utunzaji wake ni gharama sana mpaka unakuja kuuza faida ni ndogo mno na ata wateja tu unaanza kuwabembeleza.
Mpunga nalima mwaka jana bei ilituangusha ila mwaka huu ukame ndio changamoto mpaka sasa hv nishakausha hekar 5
 
Tunasubiri msimu uanze yashuke. Ila sasa tunachukulia 115k haizidi hapo 5litrex4
wewe ni adui wa mkulima sasa hv jana tu nimetoka Godown lita 20 inauzwa 137,000 tena haikai ata kdg yaan ukikamua tu inaondoka
 
wewe ni adui wa mkulima sasa hv jana tu nimetoka Godown lita 20 inauzwa 137,000 tena haikai ata kdg yaan ukikamua tu inaondoka
Wapi huko na sisi tuje kuuza maana hapa mjini lita tano inauzwa 31,000 maana yake lita 20 ni125,000
 
Duuh pole sana mkuu, kwenye mpunga hapo vipi kununua na kutunza au kuuza moja kwa moja?
 

Kukaa na vitu vinakupiga vipi kiongozi mbona wanasema ukiweka ndani baadae ndio unauza kwa bei nzuri mkuu...?
 
Wapi bei ya alizeti ni chini ya elfu 10 debe?

Au wadau hapo ulipo ni shilingi ngapi alizeti kwa sasa.......... na anayefahamu kipindi kile mafuta yapo juu sana [maximum] ilifikia shilingi ngapi kwa debe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…