Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda ubalozi wao utapata information zaidi au tembelea tovuti yao kama sikoseiMkuu hawa wachina wanao nunua asali wako dar?kwangu lt 100 haikosekani
Ngoutsaho wende Comori wahouze ndjidzi?
Ni ukweli asali ya tabora huwezi peleka ulaya kwani ina sumu.ila kwa hapa Africa unauza vizuriMmmh nauzee wangu huuu hili neno ndio nimelisikia kwako mkuuu
Juo ndio ukweli tunaila sisi watanzania lakini huwezi kuiuza nje ya nchi zinazojali raia wake,huwa wanapima kila chakula kinachoingia,asali ya tabora haiuziki njeMmmh nauzee wangu huuu hili neno ndio nimelisikia kwako mkuuu
Bo mzeh! ulongoa chikomori soifii
Mbapvi [emoji16][emoji16]
Naomba mawasiliano nao mkuuWachina pia wananunua asali ila inabidi iwe kuanzia lita 100
Kwa bahati mbaya nilipoteza link japokuwa kuna mdau alishawahi kuipost kwenye thread moja wapo humu.Naomba mawasiliano nao mkuu
dumu bei gani huko tabora kwa sasaNina dumu Za asali Nipo Tabora bora mkuu niunganishe mkuu [emoji1545]
ukiwanazo wapeleka wapiWachina pia wananunua asali ila inabidi iwe kuanzia lita 100
bado unazo ni pmNina dumu za lt 20 zipo dumu 5 nipo dar kwa kila dumu nakuuzia 160000
Pitia tovuti ya ubalozi au wasiliana nao kama una mzigo wakuunganishe na wateja direct.ukiwanazo wapeleka wapi
DuuuhMkuu Comoro kuna soko zuri la kila kitu. Fikiria wewe hawa watu wananunua mpaka Azam Cola zinasafirishwa kwenda kule. Tatizo la Comoro ni kuwa biashara wafanye wao wenyewe tu na sio wewe mgeni kule kwao. Hawana ushirikiano mzuri kwa wafanyabiashaea wageni. Hii ni taarifa ya kuaminika kutoka kwa Watanzania wenye asili ya kule!