Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 368
Habarini wanajamvi
Nina mpango wa kufanya biashara ya asali na nimefanikiwa kupata mtu wa kuniletea tayari kwa ajili ya mimi kufanya packing na kuuza,lakini nimekwama katika process za kuibrand asali yangu ili niweze kuuza kwa wateja wakubwa kama supermarkets,tafadhali kwa mwenye uzoefu na ujuzi anipe maelekezo ya hatua zipi za kuchukua nifikie malengo hayo.
nawasilisha.
Nina mpango wa kufanya biashara ya asali na nimefanikiwa kupata mtu wa kuniletea tayari kwa ajili ya mimi kufanya packing na kuuza,lakini nimekwama katika process za kuibrand asali yangu ili niweze kuuza kwa wateja wakubwa kama supermarkets,tafadhali kwa mwenye uzoefu na ujuzi anipe maelekezo ya hatua zipi za kuchukua nifikie malengo hayo.
nawasilisha.