Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
😆Eeeh fungua kwanza benki halafu unaweka na ATM yake
You can't be serious Joannah?Eeeh fungua kwanza benki halafu unaweka na ATM yake
Alafu ni wewe kwenye jukwaa la love connects nimeambiwa ati wewe ni virgin 😂😂😂You can't be serious Joannah?
Why Rapha?am very serious,try that utaona ilivyo biashara nzuri,maana kwenye kila transaction unapata buku sijui😁You can't be serious Joannah?
Yule ni wajina wangu,Angalia vizuri majina yetu utaona tofautiAlafu ni wewe kwenye jukwaa la love connects nimeambiwa ati wewe ni virgin 😂😂😂
OkayYule ni wajina wangu,Angalia vizuri majina yetu utaona tofauti
Yaani ulimaanisha kufungua bank?Why Rapha?am very serious,try that utaona ilivyo biashara nzuri,maana kwenye kila transaction unapata buku sijui😁
NDIO, inawezekana.hivi hizi ATM ni mtu yeyote mwenye mtaji anaweza kufungua ATM ?
Eeeeeh bwana...bank Binafsi kama Mwingira alivyofungua Efatha benki😥😥Yaani ulimaanisha kufungua bank?
Be my business partner, let's make it together 😃Eeeeeh bwana...bank Binafsi kama Mwingira alivyofungua Efatha benki😥😥
Lazima uwe na Benki Fungua kwanza benki kama wallivyopendekeza wadauKuuliza si ujinga, walisema wahenga. Nami kwa kuheshimu methali hii naomba kuuliza bila uoga, hivi hizi ATM ni mtu yeyote mwenye mtaji anaweza kufungua ATM ? kama Kuna mtaalam basi afafanue na gharama kwa undani kidogo, kwenu wakuu.
Sasa hapa mnanichanganya, wengine wanaseme zile ni mashine tu kila mtu mwenye mtaji anaweza kufunguaLazima uwe na Benki Fungua kwanza benki kama wallivyopendekeza wadau
Sasa hapa mnanichanganya, wengine wanaseme zile ni mashine tu kila mtu mwenye mtaji anaweza kufungua
You rock it broThe Legal and Practical Aspects of ATM's in Tanzania
The concern of our study was to examine the legal and practical aspects of ATMs in Tanzania. The major problems that were being examined are; the 24 hours operation on ATMs vis-à-vis system failure or error and the system of one bank allowingwww.academia.edu
🤣🤣🤣🤣Mi mtaji wa billion kumi za kuweka BOT nitaupata wapi Sasa?Be my business partner, let's make it together 😃