Biashara ya baby diapers/ pampers almaarufu

Hizo bidhaa Zanzibar zinauzwa bei rahisi mnoo.
Wauzaji wa jumla wa dar wanaziuza bei ghali.
Kama unaweza fuata mzigo Zenji ila jiandae kukabana na watoza ushuru.
Daaah sawa mkuu hao watu ni hatari sana, kwa Zanzibar ni maeneo gani? na je gharama za usafirishaji unazifahamu za mzigo kutoka Zenji hiyo ya Ushuru tunaweza pambana nao kiume...
 

Molfix is good too hun.

Their baby wipes smell so good.

But wipes za Sleepy ndo nzuriiiiiii. They have some protective lotion.
 
Baby Dipers, kuna original na fake karibu kwa kila brand! Wafanya biashara wakubwa Kariakoo....wakiona brand fulani inauzika sana, wanaenda China faster kutengeneza fake yake! Hivyo ni kazi kwa final consumer kuwa mwangalifu!
 
Baby Dipers, kuna original na fake karibu kwa kila brand! Wafanya biashara wakubwa Kariakoo....wakiona brand fulani inauzika sana, wanaenda China faster kutengeneza fake yake! Hivyo ni kazi kwa final consumer kuwa mwangalifu!

Asante kwa ushauri wako mkuu...nimeweka kichwani hiyo.
 
Eti nina idea ya kuanza biashara hiyo hapa bongo naagiza toka china na brand ina kua yangu plus jina pia naomba ushauri je ntafanikiwa kwa hapa tanzania au niache tu nisije ingia hasara.. Msaada jamani
 
Eti nina idea ya kuanza biashara hiyo hapa bongo naagiza toka china na brand ina kua yangu plus jina pia naomba ushauri je ntafanikiwa kwa hapa tanzania au niache tu nisije ingia hasara.. Msaada jamani

Angalia kama zina soko eneo gani na uhitaji (demand) wake uko vipi, binafsi sioni kama utapata faida unayohitaji kwa kupitia diapers pekee, maybe uagize na products nyingine mbal mbal za watoto na za kinamama if possible ili kupata wateja wengi zaidi.
 
...zinatoka sana ila quality ni muhimu sana,pili nimeona wauzaji wengi wanabadilibadili sana products,ukiweka brand yako uwe na uwezo pia wa kubadilika na soko linapo badilika...
 
Eti nina idea ya kuanza biashara hiyo hapa bongo naagiza toka china na brand ina kua yangu plus jina pia naomba ushauri je ntafanikiwa kwa hapa tanzania au niache tu nisije ingia hasara.. Msaada jamani

Na hiyo ID yako pia ubadilishe,maana ni brand ya watu ya diapers pia,
Back to topic,diapers ziwe na ubora wa juu kama huggies,na bei iwe ya kizalendo lazima utauza.Kuwa na sample zako,alafu pitia maduka makubwa yanayouza vifaa vya watoto waonyeshe hiyo sample.
.Ni vizuri pia upeleleze na bei baada ya kodi,ili uweze kumpa customer bei aone kama kwake ina maslahi au lah.
 
Kwa yeyote anayejua bei ya jumla ya pumpers China na ushuru wake kwa contena la ft20 anijuze.

Natanguliza shukrani
 
MKUU pumpers zipo za aina nyingi,pia aina size mbalimbali.hivyo ungeeleza unahitaji za aina gani

Size ni kuanzia 0kg-3kg,6kg-12kg,kuhusu aina ningependa kujua tu bei zinaanzia ngapi kwa ubora fulani hasa hasa ubora wa kati ili na mm niweze kuuza kwa bei nafuu kabisa,natanguliza shukrani
 
Search alibaba kuna kila kitu na bei zake kaka!

Unajua Alibaba na mtu kwenda mwenyewe ni vitu viwili tofauti kaka,mfano hata bei za magari tunazoona kwenye mitandao ni tofauti kama ukienda mwenyewe kwenye minada ya Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…