mkuu hata zangu mimi zimenidodea...nina kama piece 200 hivi kila siku nikiamka nazitolea macho nangojea hali iwe mbaya lakini wapiMkuu hali ni ngumu, serikali iangalie hii ishu
Uvaaji wa barakoa ni lazima mana watu hawajui afya zao na still ugonjwa bado upo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu tumegoma kuvaa barakoa bali tunajifukizaa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani.Pole sana, naona una hasira sana Mzee... usinichukie mimi. [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Bora we 200. Mi zangu ni za kurudsha rejesho.mkuu hata zangu mimi zimenidodea...nina kama piece 200 hivi kila siku nikiamka nazitolea macho nangojea hali iwe mbaya lakini wapi
Korona ipo akili za kuambiwa changanya na zako, mbona harudi LUTHULI??
Kwa wafanyabiashara wazoefu hilo wala sio jambo la kushangazaWakuu Salaam;
Hii kazi ya barakoa na sanitizer imekua kilio tu saivi. Mwanzoni mambo yalikua safi, ukilala ukiamka hela hii hapa, ni tofauti na sasa hivi.
Serikali ingetoa updates za maambukizi ya Corona mara 2 au 3 hivi yenye peak nzuri tu mzigo najua ungeisha maana kipindi cha nyuma kila ikitangaza tu, mauzo na faida ni kemkem.
Sasa hivi ni kilio tu. Nilichukua barakoa 2 niwape rafiki zangu hawakupokea, wakadai wanakereka kuzivaa. Nilichoka.
Kuna hasara inataka kuninyemelea nikiona mchana kweupe. Sasa hii hasara inatakiwa kupita mbali.
Wito wangu umeshaeleweka.
Akati serikali imesema week hii corona mwisho, na j2 ndio kilele cha coronaMkuu kila mtu anapambania tonge lake.
Siyo tunatamani corona iendeleee bali serikali ipige kelele watu wachukue tahdhar ili mambo yakae sawa
Mjiandae kwa vijembe na maneno yake mafumbo kama mwanamke wa uswahiliniYuko njiani anakuja mjini.
Huyu bidada alikuwa ananyonyesha? Mbona kwenye nipple barakoa zimeloa?Njia ni kubuni matumizi mapya ya Barakoa; kama haya.
View attachment 1454925
mkuu hata zangu mimi zimenidodea...nina kama piece 200 hivi kila siku nikiamka nazitolea macho nangojea hali iwe mbaya lakini wapi
Hivi ni mtanzania huyo dada?Huyu bidada alikuwa ananyonyesha? Mbona kwenye nipple barakoa zimeloa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru baba mchungaji kwa kutovaa barakoa-Mkuu.Mkuu kila mtu anapambania tonge lake.
Siyo tunatamani corona iendeleee bali serikali ipige kelele watu wachukue tahdhar ili mambo yakae sawa
Duh atazivaa mwenyewe sasaFundi Maiko hapa kashona na anaendelea kushona barakoa za kumwaga, anasema ngojeni kidogo mtazivaa tu..!
Barakoa za kushona ndio zimeharibu,tafuta kazi ingineKuna hasara inataka kuninyemelea nikiona mchana kweupe. Sasa hii hasara inatakiwa kupita mbali.
Mjiandae kwa vijembe na maneno yake mafumbo kama mwanamke wa uswahilini
Aje tu maana Makondda katangaza neema j2, twende nae Disco vumbiYuko njiani anakuja mjini.