kijiweniJR
Member
- Jan 21, 2019
- 11
- 9
Sidhan mkuu. mimi kuna sehemu nafanya kazi lkn Mara baada ya mda wa kazi naanza kupiga bodaboda kuanzia saa 12 join hadi saa sita usiku narudi kulala, Nina mwaka sasa lkn sijawahi kupata chini ya elfu 8/dayChangamoto kupata hao abiria 16 kwa siku, wakati mwingine unaweza kupata abiria wawili tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app