hermanjose
New Member
- Feb 28, 2020
- 2
- 2
Habarini ndugu natumaini mu wazima!
Lengo la kuomba ushauri kuhusu biashara hizi ni kwa vile sina uzoefu nazo lakini nimetokea kuvutiwa nazo kutokana na hesabu ambazo nimekuwa nikizipiga.
Napo bodaboda ndio target kubwa hasa ningependa kupata ushauri zaidi juu ya biashara hizi kutoka kwenu ndugu zangu natumai nimeleta wazo langu katika mikono salama.
Asanteni ndugu nangoja mawazo yenu nadhalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo la kuomba ushauri kuhusu biashara hizi ni kwa vile sina uzoefu nazo lakini nimetokea kuvutiwa nazo kutokana na hesabu ambazo nimekuwa nikizipiga.
Napo bodaboda ndio target kubwa hasa ningependa kupata ushauri zaidi juu ya biashara hizi kutoka kwenu ndugu zangu natumai nimeleta wazo langu katika mikono salama.
Asanteni ndugu nangoja mawazo yenu nadhalia
Sent using Jamii Forums mobile app