mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hata humu JF watu walishawahi kutangaza kuwa wanauza pikipikiChief wapi napata pikipiki used nzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata humu JF watu walishawahi kutangaza kuwa wanauza pikipikiChief wapi napata pikipiki used nzuri?
Ebu fanya kumtag mtu yoyote unayemjua anauza pikipiki nzuri usedHata humu JF watu walishawahi kutangaza kuwa wanauza pikipiki
ukisearch humu utaziona,hata sikuwa na interest ya kuzifuatilia ila nakumbuka nilishawahi kuona matangazo miezi kadhaa iliyopitaEbu fanya kumtag mtu yoyote unayemjua anauza pikipiki nzuri used
Ebu fanya kumtag mtu yoyote unayemjua anauza pikipiki nzuri used
Ok ngoja niwatafuteukisearch humu utaziona,hata sikuwa na interest ya kuzifuatilia ila nakumbuka nilishawahi kuona matangazo miezi kadhaa iliyopita
Ebu fanya kumtag mtu yoyote unayemjua anauza pikipiki nzuri used
ShukranINAUZWA - Nauza pikipiki aina ya Shineray kwa Tsh. 550,000/=
liko fresh na linapiga starter, gia 5 namba ARP. Ipo laela-sumbawanga hapa kutoka tunduma ni saa 1 tu. Mawasiliano: 0625522261www.jamiiforums.com
Ok ngoja niwatafute
Ok ngoja niwatafute
Haikuzidi elfu 30, maana silo bomba. Sema Sasa hivi nafocus kwenye bajaji.
[emoji117]Napenda uwekezaji mfupi- mfano 1yr. Bajaji haizidi 3m. So kwa Mwaka unaeza calculate
Hata humu JF watu walishawahi kutangaza kuwa wanauza pikipiki
nimeweka link za matangazo niliyoyaona fungua uwasiliane na wahusika,mimi sio muhusika wa hizo bodaboda nduguUnaweza kunipa msaada
nimeweka link za matangazo niliyoyaona fungua uwasiliane na wahusika,mimi sio muhusika wa hizo bodaboda ndugu
Naweza mkuu, ila ujipange sasaMkuu unaweza kunipa connection ya kupata pikipiki used
Naweza mkuu, ila ujipange sasa
SI hela ya kununulia bwashee, au unahisi nakupa Mimi bure😀😂🤔Kwanini unasema nijipange
SI hela ya kununulia bwashee, au unahisi nakupa Mimi bure[emoji3][emoji23][emoji848]
IPO moja 1.6 m Ina miezi 4, Faka25. Unachukua au nichukue??Sawa ukipata nicheki
Ili ufanikiwe katika maisha ufanye kile ambacho moyo wako unakiamini na Mjasiliamali yeyote hwawezi kudharau hela hata kama ina faida ndogo kiasi gani. Nina rafiki angu mmoja enzi hizo alikuwa anafanya biashara ambayo kila product anayouza ilikuwa inampa faida 200 lkn aliseam ni heri nipate mia mbili kila siku kuliko kusubiri 500 baada ya wiki.Kuna kitu hapa watu wanashindwa kuelewa Sina mtaji Wa 34.5 Millions, nimesema nilianza na mtaji Wa 9 Millions Kwa kuanza na Pikipiki 4 tu mpka kufika sasa zipo zaidi ya Pikipiki 15.
Concept hapa ni kwamba Kwa marejesho haya haya ya Pikipiki nilizonunua mwanzoni ndio nilitumia kununua Pikipiki nyingine zilizofuata huku nikiongeza 30% ya sehemu ya Mshahara wangu Kila mwezi.
Mtaji wangu ni 9 Millions + 30% ya Mshahara wangu Kila mwezi mpka kufika hatua hii Kwa muda wa miezi 13 mpka Leo hii.
Kukosoa sio jawabu nipeni ushauri Wa Biashara ambayo inatakiwa kuingiza Faida ya zaidi ya 50,000/= Kwa Siku Kwa mtaji Wa 9 - 10 Million's.
Kukosoa Kwa sababu ulisikia mtu mwingine akishindwa hiyo biashara sio jambo jema, Nina zaidi ya mwaka mmoja sasa na sijaona shida yyote katika hii Business.
Kushindwa kwako sio kwamba na mwingine asifanye hiyo Biashara, TUKOSOE Kwa kutoa USHUHUDA Wa Biashara unayofanya wewe na KIPATO/FAIDA unayopata Kwa Siku itapendeza.
🟢Mfano Mimi Kwa Siku sikosi REJESHO La 150,000/=. Katika hii Hela 50,000/= ni kama Faida yangu Kwa Siku na 100,000/= ni Hesabu ya hela inayorudi kutokana na uwekezaji wangu ndani ya siku Moja Kwa mwezi mmoja (30 days) nitarudisha 3M ya mtaji wangu.
🟡TUPEANE IDEA ZA BIASHARA ZA KUFANYA, TOA USHUHUDA KAZI/BIASHARA UNAYOFANYA NA FAIDA UNAYOPATA ILI TUPATE MOYO WA KUFANYA BIASHARA NYINGINE PIA, ILI NlWEKEZE KATIKA BUSINESS NYINGINE.