Biashara ya Bodaboda

Biashara ya Bodaboda

Nipo keko machungwa hapa muda huu Kuna mtu anadaiwa 900000 na mkataba ulikuwa inaisha wiki iliyopita na haonekani
 
Kuna kitu hapa watu wanashindwa kuelewa Sina mtaji Wa 34.5 Millions, nimesema nilianza na mtaji Wa 9 Millions Kwa kuanza na Pikipiki 4 tu mpka kufika sasa zipo zaidi ya Pikipiki 15.

Concept hapa ni kwamba Kwa marejesho haya haya ya Pikipiki nilizonunua mwanzoni ndio nilitumia kununua Pikipiki nyingine zilizofuata huku nikiongeza 30% ya sehemu ya Mshahara wangu Kila mwezi.

Mtaji wangu ni 9 Millions + 30% ya Mshahara wangu Kila mwezi mpka kufika hatua hii Kwa muda wa miezi 13 mpka Leo hii.

Kukosoa sio jawabu nipeni ushauri Wa Biashara ambayo inatakiwa kuingiza Faida ya zaidi ya 50,000/= Kwa Siku Kwa mtaji Wa 9 - 10 Million's.

Kukosoa Kwa sababu ulisikia mtu mwingine akishindwa hiyo biashara sio jambo jema, Nina zaidi ya mwaka mmoja sasa na sijaona shida yyote katika hii Business.

Kushindwa kwako sio kwamba na mwingine asifanye hiyo Biashara, TUKOSOE Kwa kutoa USHUHUDA Wa Biashara unayofanya wewe na KIPATO/FAIDA unayopata Kwa Siku itapendeza.

🟢Mfano Mimi Kwa Siku sikosi REJESHO La 150,000/=. Katika hii Hela 50,000/= ni kama Faida yangu Kwa Siku na 100,000/= ni Hesabu ya hela inayorudi kutokana na uwekezaji wangu ndani ya siku Moja Kwa mwezi mmoja (30 days) nitarudisha 3M ya mtaji wangu.

🟡TUPEANE IDEA ZA BIASHARA ZA KUFANYA, TOA USHUHUDA KAZI/BIASHARA UNAYOFANYA NA FAIDA UNAYOPATA ILI TUPATE MOYO WA KUFANYA BIASHARA NYINGINE PIA, ILI NlWEKEZE KATIKA BUSINESS NYINGINE.
Ili ufanikiwe katika maisha ufanye kile ambacho moyo wako unakiamini na Mjasiliamali yeyote hwawezi kudharau hela hata kama ina faida ndogo kiasi gani. Nina rafiki angu mmoja enzi hizo alikuwa anafanya biashara ambayo kila product anayouza ilikuwa inampa faida 200 lkn aliseam ni heri nipate mia mbili kila siku kuliko kusubiri 500 baada ya wiki.

Mungu sio athumani sasa hivi mtaji alionao sio wa viwango hivi. Kutoka milioni 9 hadi 35 ni zaidi ya mafanikio unahaki ya kujipongeza na kuongeza bidiii. Kama ingekuwa biashara isiyo na afya boda zote zilizojaa barabarani zisingekuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom