wanajamii, kuna rafiki yangu nilikuwa naongea naye weekend hii, anaishi nje ya nchi ila anataka kurudi Tanzania na kuwekeza. mojawapo ya business idea ni kufungua BOOKSHOP,. sasa wanandugu kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi hawana mwamko wa kusoma, Je biashara hii inaweza kulipa? na kama inaweza kulipa je wapi ni location nzuri.. na vitabu vinakuwa sourced wapi.. wenye mawazo ya kujenga naomba ushauri wenu ili nami nimshauri huyu rafiki yangu
Kama umefikia conclusion kuwa Watanzania wengi hawana mwamko wa kusoma, sidhani kama Bookshop inaweza kulipa..
Mkuu bora ungefungua gesti tu, wabongo ni ngono tu,baas! habari za kusoma haihuu! vitabu vitaishia kuliwa na panya na mende tu.wanajamii, kuna rafiki yangu nilikuwa naongea naye weekend hii, anaishi nje ya nchi ila anataka kurudi Tanzania na kuwekeza. mojawapo ya business idea ni kufungua BOOKSHOP,. sasa wanandugu kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi hawana mwamko wa kusoma, Je biashara hii inaweza kulipa? na kama inaweza kulipa je wapi ni location nzuri.. na vitabu vinakuwa sourced wapi.. wenye mawazo ya kujenga naomba ushauri wenu ili nami nimshauri huyu rafiki yangu
Mkuu bora ungefungua gesti tu, wabongo ni ngono tu,baas! habari za kusoma haihuu! vitabu vitaishia kuliwa na panya na mende tu.
Hapa tunaongelea serious business nisubiri kule chit chat kwa ajili ya porojo.khaaa!
kuna majukwaa inabidi upigwe ban aisee maana unachafua hali ya hewa.Hapa tunaongelea serious business nisubiri kule chit chat kwa ajili ya porojo.
Hivi ushawahi kuskia gesti ikafungwa bongo kwa kukosa wateja?, haya jibu kwa hoja. Leo ndio utajua kwamba mimi nina share zangu kwenye kampuni ya microsoftikuna majukwaa inabidi upigwe ban aisee maana unachafua hali ya hewa.
gesti sijui. Niulize hoteli.Hivi ushawahi kuskia gesti ikafungwa bongo kwa kukosa wateja?, haya jibu kwa hoja. Leo ndio utajua kwamba mimi nina share zangu kwenye kampuni ya microsofti
Mkuu bora ungefungua gesti tu, wabongo ni ngono tu,baas! habari za kusoma haihuu! vitabu vitaishia kuliwa na panya na mende tu.
wanajamii, kuna rafiki yangu nilikuwa naongea naye weekend hii, anaishi nje ya nchi ila anataka kurudi Tanzania na kuwekeza. mojawapo ya business idea ni kufungua BOOKSHOP,. sasa wanandugu kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi hawana mwamko wa kusoma, Je biashara hii inaweza kulipa? na kama inaweza kulipa je wapi ni location nzuri.. na vitabu vinakuwa sourced wapi.. wenye mawazo ya kujenga naomba ushauri wenu ili nami nimshauri huyu rafiki yangu
Wafanyabiashara wawili walikutana na kujadiliana juu ya biashara wanazoweza kufanya Afrika, mmoja akamweleza mwezake kwamba anataka kuleta viatu Afrika; mwenzie akamwambia usipeleke viatu Afrika kwasababu hawajui kuvaa viatu (enzi hizo). Huyu jamaa akasema hiyo itakuwa ni fursa nzuri kwani ataleta viatu bure na kuwafundisha jinsi ya kuvaa, baada ya hapo ataleta kuuza.
Hivyo basi rafiki yako atalazimika kutengeneza mazingira ya kuwafanya watanzania wengi kusoma vitabu halafu anaanza kuuza vitabu.
wanajamii, kuna rafiki yangu nilikuwa naongea naye weekend hii, anaishi nje ya nchi ila anataka kurudi Tanzania na kuwekeza. mojawapo ya business idea ni kufungua BOOKSHOP,. sasa wanandugu kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi hawana mwamko wa kusoma, Je biashara hii inaweza kulipa? na kama inaweza kulipa je wapi ni location nzuri.. na vitabu vinakuwa sourced wapi.. wenye mawazo ya kujenga naomba ushauri wenu ili nami nimshauri huyu rafiki yangu