Tuwe wakweli jamani:
Fact ni kuwa Watanzania hatusomi, hatusomi kabisa kama mtu anasoma gazeti basi ujue ni gazeti la kufumua skandali za watu, kama yuko kwenye desktop basi ni facebook etc.
Ukweli huu unadhihirika na yafuatayo Dar Es Salaam mji wenye watu zaidi ya milioni nne na nusu, shule za msingi zaidi ya mia ,shule za sekondari kadhaa , vyuo vikuu saba kuna bookshop za vitabu vya kiada sio zaidi ya tano. Maana yake kuwakwa kila bookshop moja inahudumia watu milioni moja.
Ndio maana pamoja na Dar es Salaam kupanuka sana ukilinganisha na miaka 20 iliyopita mpaka leo maktaba yetu ya Taifa haijaongezwa both horizontal. vertically au hata kuweka branchs kwenye surbubs za jiji. Hii ni kiashiria tosha kuwa hatusomi.
Wanunuzi wakubwa wa vitabu ni wanafunzi both A level, O level na vyuo, niambie ni mwanafunzi gani wa chuo kikuu umemuona anaingia bookshop na kununua kitabu kipya? Ni wanavyuo wangapi waliomaliza na kuanza kazi unawakuta wanatumia reference ya vitabu vyao binafsi walivyonunua wakiwa wanafunzi? I swear in every 100 students unaweza kupata watatu.
Hali hii juu ina apply pia kwa wanafunzi wa sekondari both A and O level. Tell me when did your son, daughter, young brotheror sister buy a textbook from the pocketmoney that you provide?
When did any of us buy a textbook for reference in the office, we all go for novels and other funny stuff.
Ningemshauri rafiki yako aanzishe NGO ya kuhamasisha watu kusoma na hii ianzie shule za awali, majumbani, msingi, sekondari, majumbani vyuo na vyuo vya juu, baada ya hapo ndio aanzishe maduka ya vitabu.