Biashara ya bucha la samaki, nyama na kuku naweza kupata 60,000/= kama faida kwa Dar es Salaam?

Biashara ya bucha la samaki, nyama na kuku naweza kupata 60,000/= kama faida kwa Dar es Salaam?

Ndugu wana JamiiForums nimekuja kwa mara nyingine kuomba ushauri kuhusiana na biashara ya bucha. Huu mwaka ni mpango wangu wa kuongeza biashara nyingine ili kukabiliana na ukali wa maisha.

Ukiachilia mbali biashara ya nafaka ambayo hadi muda huu nakomaa nayo wazo la kwanza nililokuwa nalo ni kufungua biashara ya bucha, upande mmoja ni dili na samaki upande mmoja niweke nyama na kuku kidogo. Niliopanga kuweka ni 5-7 millioni

Jee kwa muenendo wa hiyo biashara inaweza kunilipa maana sina uzoefu nayo kabisa, naombeni ushauri nisije fukia pesa au nikala hasara, namna ya kuendesha hiyo biashara kwa faida, na jinsi ya kukabiliana na changamoto zake.

VIP umeanza biashara ya samaki ,
 
Back
Top Bottom