Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Mkuu naomba msaada. Hivi gharama za kutengeneza banda la kawaida tu yaani si local wala classic lipo kati inagharimu kiasi gani
 
Mzee laki tano hapo inatumika pamoja na kulipa mafundi, mi nimejenga banda la kawaida tu bati tano, nguzo nne, na kuzungushia turubai imenitoka 500, hamna ujenzi mrahisi mzee nimeamini
Mkuu naomba msaada. Hivi gharama za kutengeneza banda la kawaida tu yaani si local wala classic lipo kati inagharimu kiasi gani
 
Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave, unahitaji deepfreezer, most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer, hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald, juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama. Chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden.
 
asante mkuu
mzee laki tano hapo inatumika pamoja na kulipa mafundi, mi nimejenga banda la kawaida tu bati tano, nguzo nne, na kuzungushia turubai imenitoka 500, hamna ujenzi mrahisi mzee nimeamini
 
mkuu wachana na huyo mleta uzi

mimi nataka ya kawaida yenye mazingira ya usafi isiwe local wala classic yaani iwe ya kati
 

Safiii
Hujaongezea banda gharama zake
 
Habari za asubuhi wadau wa JF.

Mimi ni kijana niliewekeza kwenye biashara ya chips hapa chuoni Mipango Mwanza. Kiukweli biashara ipo nzuri tu maana kwa siku nauza kilo 50 mpaka 55 za viazi, mishikaki ya ngombe kilo 2, na kuku 2 mpaka 3. Yaani gunia la viazi la kilo 100 linaisha ndani ya siku 2.

Shida ninayokumbana nayo ni namna ya kutenganisha faida na mtaji baada ya mauzo yote maana nikitoa matumizi naona kama sibaki na kitu mfuko wakati kila kitu kimeisha, na msimamizi ni mimi kwenye hiyo biashara.

Tafadhali wenye uzoefu wa biashara za namna hii nahitaji shule kutoka kwenu.
 
Pole sana dogo, inaonekana una matumizi makubwa kama gharama za uendeshaji. Au unakosea kati ya hivi vifuatavyo
1. Unahonga watoto wa kike chipsy
2. Unazidisha chenji
3. Unapima chipsy nyingi kuliko kipimo (no 2 na 3 ni sababu sababu kuu ya wateja kuwa wengi)
Angalia sana upunguze gharama za uendeshaji mfano acha kutumia mkaa, tumia majiko ya pumba yale yanapunguza sana gharama. Acha kuhonga, watoto wa chuo ni wapenzi sana wa chipsy hata kama una sura kama marehemu ongala utaitwa handsome tu
 
MZAWA JF,
Umenichekesha pia kwenye kuonga japo Simo.....sema gharama za uendeshaji ni kubwa kuanzia mafuta,mkaa,chachandu na nk....nawaza niamie kwenye gas labda
 
Saha
Designated Savaiva,
Sahani moja kama ni chips mayai ni tsh 2000,chips kavu ni tsh 1500.....wanachuo wanapenda sana chips kavu na iliyojaa sn,nimegundua ili eneo linanitia hasara pia
 
Chuma ulete,hiyo hali iliwahi kunitokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…