Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Location yako ni wapi?

Mtaji wako kiasi gani?

Mauzo yako ni kiasi gani kwa siku na ulipendelea kuuza kiasi gani?

Una muda gani tangu kuanza kwa hiyo biashara?
 
Nadhani hapo umempa mpishi kazi ya uhasibu so akiziona pesa anazuzuka. Kuna watu wapo hivyo hawana uwezo wa kujicommit na kujicontrol hadi wapelekeshwe kama punda.

Kosa unafanya ni kukogambana na mtu ambaye ni muajiriwa wako, umeona wapi CEO anagombana na mfagia ofisi au karani wa kampuni.

Tafuta vijana wengine wa ziada ambao utawaamini, m'moja mpe kazi ya kuchukua oda na kuwapelekea wateja yaani kama waiter na mwingine mpe kazi ya kuchukua pesa na kurejesha chenji.

Shida ya wajasiriamali wanataka waone biashara ikikua ila gharama za uendeshaji zikibakia pale pale bila kupanda hata mia.
 
Dah ingawa huu uzi ni wa muda mrefu ila nimecheka balaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…