Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Hii biashara ni ulimbo kwa wadada...hapo inabidi dogo apate semina elekezi namna ya kupambana na genye za ghafla...kama si hivyo..utashangaa gunia limekwisha alafu mfukoni ana buku tu...

wanafunzi ndo usiseme ukiuza chips hata usipomuomba anakupa
 
masaidada Vipiile biashara ya nguo UGANDA na yenyewe uliifanya?
 
Last edited by a moderator:
anaifanya rafki angu


Nijambo jema sana hebu lete mrejesho vipi maendeleo yake na kwakuwa watu walitoa mawazo mengi cmbaya pia ukisema yy anafanya ipi kati yazile walizoshauri wadau.......
 
Nijambo jema sana hebu lete mrejesho vipi maendeleo yake na kwakuwa watu walitoa mawazo mengi cmbaya pia ukisema yy anafanya ipi kati yazile walizoshauri wadau.......

kama labda unahitj....ila siwezi irudia ile topic na siwez anika mambo yake hapa may be kabsa kama upo interested useme upate majibu
 
Mwenye kuijua biashara hii anisaidie kuorozesha vifaa nisivyo vijua
1.jiko
2.kikaango
3.kabati
4.kijiko cha kuchomea
5.sahani
6.vombo vya kulia
7.vibebeo kwa anaebeba
8.chili
9.tomato
10.kachumbali
11.mayai
12.chumvi
kama kuna zaidi naomba
 
Habari za jumapili ndugu zanguni Leo nimekuja kuomba mnipe experience ya biashara ya chips kwa ambaye keshawahi kuifanya,ambaye anafanya au ambaye mwenye ujuzi kuhusu hii biashara,nilikua ninamaswali kadhaa je inahitaji uwe na shingapi hadi biashara yenyewe iweze kufanyika,mie sio muuzaji ila mitamuweka kijana je tutakua tunalipanaje na kijana? Naombeni msaada wenu ndugu zangini
 
Wakuu... Nipo dar . Mitaa ya Kinondoni . Nina wazo la Kuanzisha biashara ya CHIPS.. Ila sitauza mimi, nataka nimweke mtu auze..
Nina mtaji wa Million Moja, sijui kama Inatosha au la.
NATAKA USHAURI WENU.
1.Je, ni biashara nzuri?
2. Nini changamoto za hii business?
3. Mtaji wa 1 Million unatosha?
NAWASILISHA
 
Tafuta sehemu yenye mademu wengi hasa pale ubungo NHC kota au kota za NHC mwananyamala utapiga miti mademu mpaka utajionea huruma ...
 

Viti au benchi za kukalia wateja,Visu vya kumenyea viazi,Ndoo au dumu la kuhifadhia maji,Mkaa,n.k.
 
Tafuta sehemu yenye mademu wengi hasa pale ubungo NHC kota au kota za NHC mwananyamala utapiga miti mademu mpaka utajionea huruma ...

Hapa watu wanataka kujua faida za hii biashara na sio habari za Mademu,jamani hivi tutafika kweli kwa mitazamo hii???,Vijana hebu tubadilike basi looh!! siyo kila wakati ni mademu tukumbuke HIV nayo inatukodolea macho.
 
Wakuu, kwa makadirio kwa siku hii business inaweza kuingiza sh ngapi kwa mfano?
I'm curious to know that.

Mkuu inategemea na saiti ambayo upo,km upo saiti nzuri unaweza kuingiza zaidi ya kilo kwa wastani kwa siku,lkn km upo saiti mbaya hata kufikisha Misimbazi miwili inaweza ikawa ishu.Kuna kipindi nilikuwa Mbeya pale Igurusi kuna ndugu yangu alikuwa anachoma chips pale na alikuwa analaza zaidi ya Elfu hamsini kwa siku na hiyo ilikuwa ni mwaka 2009,hivyo kwa sasa itakuwa zaidi ya hapo.
 

Mkuu, Huyo jamaa yako wa Mbeya, hiyo Elfu 50 ni FAIDA au ni makusanyo ya jumla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…