Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa dar huwa wanalipwa on daily basis ..mara nyingi wanakuwa wawili au watatu.....kiongozi around 10,000 ,msaidizi 5,000Kwa wenye uzoefu, ukiajiri mtu inatakiwa uchukue kiasi gani per day? Or process nzima ya operation ipoje?
kwa dar huwa wanalipwa on daily basis ..mara nyingi wanakuwa wawili au watatu.....kiongozi around 10,000 ,msaidizi 5,000
Daah aisee na mimi ningeomba nialikwe nije kuchukua ujuzi, nina imani sijachelewahahaahh kweli The Boss kuna watu wanaoenda kachumbari kuliko chips
yaa jumamosi nitakuwepo mara chache kuangalia biashara inavyokwenda
yaaa viazi vya kilimanjaro sio vizuri kwa chips vinanyonya maji sana hivyo hutumia mafuta mengi mpaka kukauka si unajua kilimanjaro ardhi yake ina maji vya mikoa mingine ndo vizur na pia kimi nikiviangalia kwa macho navijua vipi ni vipi......,nishalimaga sana
usafi wa dogo ni changamoto kubw sana si unajua ukidili na viazi plus mafuta plus moto
thanx nitakwambia mahala nipo one weekend uje na marafiki zako