Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi chips classic huliwa na watu classic ambao hupatikana maeneo classic na huishi maeneo classic mfano Steers hupika chips classic kwa ajili ya watu classic. Kupata eneo classic ,vyombo classic vya kupikia na kuhudumia classic na eneo classic hiyo milioni moja Sio hella hamna kitu hapo.Huo mtaji wako hauendani na wazo lako wazo kubwa mtaji sifurikwa chipsi BORA kushinda vibanda vingine haitoshi.....
Msaidie hints huyo kijana ana mtaji wa M1 anataka afungue goli la chipsiNiko hapa
Naomba msaada wako mkuuNiko hapa
Tayari mkuu nimeshakupa mchanganuo huko PM kwakonaomba msaada wako mkuu
Fanya hivi: Copy huo mchanganuo huko pm kisha paste hapa kwenye uzi ili uwanufaishe na wengine watakaovutiwa.Tayari mkuu nimeshakupa mchanganuo huko PM kwako
Ata mi ningetamani kuambulia kitu hapo tafadhali.Tayari mkuu nimeshakupa mchanganuo huko PM kwako
Mchanganuo wa biashara ni huuAta mi ningetamani kuambulia kitu hapo tafadhali.
Tayari mkuufanya hivi.... copy huo mchanganuo huko pm kisha paste hapa kwenye uzi ili uwanufaishe na wengine watakaovutiwa.
Tayari mkuuZero IQ, njoo huku utoe ushauri
Mi binafsi siamini kama huu uzi ni wakwako, nimekuzoea kule Kwa migegedo. Na harahaniwe aliyekusemea kwa mods adi ukaibukia kwenye uchumi na ujasiliamali.Mwenye swali lolote aulize Nitajibu hapa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125] AiseeeeeeeeMi binafsi siamini kama huu uzi ni wakwako, nimekuzoea kule Kwa migegedo. Na harahaniwe aliyekusemea kwa mods adi ukaibukia kwenye uchumi na ujasiliamali.
Mi binafsi siamini kama huu uzi ni wakwako, nimekuzoea kule Kwa migegedo. Na harahaniwe aliyekusemea kwa mods adi ukaibukia kwenye uchumi na ujasiliamali.