SamuraiJack
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 225
- 239
Poleni na majukumu wana JF wenzangu,
Nina kijana mchapakazi na ninayemfahamu vizuri na kumuheshimu, Nina wazo la kufungua kijiwe cha chipsi niweke kila kitu cha kisasa kama vile jiko la umeme na gesi na vifaa vyote vya kuwezesha kazi pamoja na mtaji wa kununulia mazaga kwa ajili ya biashara.
Lengo langu ni kumkabidhi kijana huyu kwa makubaliano kwamba kila siku awe ananikabidhi mimi 20,000/= tu. Nafanya hivyo kwa sababu siwezi kupata muda wa siku nzima kuwepo eneo la biashara.
Kwa wazoefu wa biashara hii, Je? jambo hili litawezekana na kama litawezekena, ni changamoto gani ambazo ni common kwenye hii biashara?
NB: Eneo nimeshapata na lipo eneo la chuo ndani ya jiji la DSM.
Nina kijana mchapakazi na ninayemfahamu vizuri na kumuheshimu, Nina wazo la kufungua kijiwe cha chipsi niweke kila kitu cha kisasa kama vile jiko la umeme na gesi na vifaa vyote vya kuwezesha kazi pamoja na mtaji wa kununulia mazaga kwa ajili ya biashara.
Lengo langu ni kumkabidhi kijana huyu kwa makubaliano kwamba kila siku awe ananikabidhi mimi 20,000/= tu. Nafanya hivyo kwa sababu siwezi kupata muda wa siku nzima kuwepo eneo la biashara.
Kwa wazoefu wa biashara hii, Je? jambo hili litawezekana na kama litawezekena, ni changamoto gani ambazo ni common kwenye hii biashara?
NB: Eneo nimeshapata na lipo eneo la chuo ndani ya jiji la DSM.