Biashara ya chips

Biashara ya chips

Mtaji wa laki tatu je vyombo na vifaa vingine unavyo?
 
Wajasiriamali ngoja tumalize kuangalia gem tunakuja!!
 
Mtaji wa laki tatu je vyombo na vifaa vingine unavyo?
Usimkatishe tamaa mwenzio kwanza biashara inahitaji kukua taratibu kadri atakavyokuwa msafi na chakula chake, wabongo wanaoongoza kukatisha wengine tamaa ni ambao wengi uthubutu wa kuanzisha biashara hawana, ama ni wafanyakazi uzoefu wa biashara hakuna
 
Usimkatishe tamaa mwenzio kwanza biashara inahitaji kukua taratibu kadri atakavyokuwa msafi na chakula chake, wabongo wanaoongoza kukatisha wengine tamaa ni ambao wengi uthubutu wa kuanzisha biashara hawana, ama ni wafanyakazi uzoefu wa biashara hakuna

Wanasemaga the number one killer of dreams and big visions are family members, close friends and all people with low self esteem.

Mtoa mada, hakuna mtaji unaotosha kwenye biashara. Muhimu, kuwa na big picture na anza na ulichonacho.
 
Usimkatishe tamaa mwenzio kwanza biashara inahitaji kukua taratibu kadri atakavyokuwa msafi na chakula chake, wabongo wanaoongoza kukatisha wengine tamaa ni ambao wengi uthubutu wa kuanzisha biashara hawana, ama ni wafanyakazi uzoefu wa biashara hakuna
Hapo nimemkatisha tamaa vipi? shida yako elimu ndugu yang sio bure. Ukitaka kumsaidia mtu lazima umpigie hesabu ajue kuwa mahitaji yake ni yapi.

Jiko la gesi: labda useme optional
Karai: bei 40000/-
Mafuta: bei 30000/-
Mkaa: 26000/ gunia dogo
Kodi: Frame ... huwezi pikiq nje
Viti na meza: hapa mbili tatu
Viazi: Ndoo 20000/-
Sahani:......


mambo mengi lazima ujue sio unakurupuka. Lazima hapo ajue anahitaji nni anyways....
 
Wanasemaga the number one killer of dreams and big visions are family members, close friends and all people with low self esteem.
Mtoa mada, hakuna mtaji unaotosha kwenye biashara. Muhimu, kuwa na big picture na anza na ulichonacho.
Exactly 💯
 
Hapo nimemkatisha tamaa vipi? shida yako elimu ndugu yang sio bure. Ukitaka kumsaidia mtu lazima umpigie hesabu ajue kuwa mahitaji yake ni yapi.

Jiko la gesi: labda useme optional
Karai: bei 40000/-
Mafuta: bei 30000/-
Mkaa: 26000/ gunia dogo
Kodi: Frame ... huwezi pikiq nje
Viti na meza: hapa mbili tatu
Viazi: Ndoo 20000/-
Sahani:......


mambo mengi lazima ujue sio unakurupuka. Lazima hapo ajue anahitaji nni anyways....
Kwani ni lazima aanze na vitu vikubwa? Karai la efu40 la nini na akati ndio anaanza hajajua mzunguko ukoje, mkaa gunia la nini hajapata uhakika wa kumaliza hilo gunia, mafuta ndoo kiaje kwa kuanza hata lita5 inaanza...wanaopika nje maeneo ya wazi na chakula kinauzika je? Na unajua mazingira anayotaka kuanzisha biashara?
 
Kwani ni lazima aanze na vitu vikubwa? Karai la efu40 la nini na akati ndio anaanza hajajua mzunguko ukoje, mkaa gunia la nini hajapata uhakika wa kumaliza hilo gunia, mafuta ndoo kiaje kwa kuanza hata lita5 inaanza...wanaopika nje maeneo ya wazi na chakula kinauzika je? Na unajua mazingira anayotaka kuanzisha biashara?
Gunia la elfu 26 ni gunia dogo sana unajua bei ya mkaa. Unajua chips zinapikwa ma mkaa kiasi gan?
Naweza kua naongea na mtu anayelisjwa na wazaz wake najisumbua.
Ushawahi fanya biashara ya chips?
 
 
Hapo nimemkatisha tamaa vipi? shida yako elimu ndugu yang sio bure. Ukitaka kumsaidia mtu lazima umpigie hesabu ajue kuwa mahitaji yake ni yapi.

Jiko la gesi: labda useme optional
Karai: bei 40000/-
Mafuta: bei 30000/-
Mkaa: 26000/ gunia dogo
Kodi: Frame ... huwezi pikiq nje
Viti na meza: hapa mbili tatu
Viazi: Ndoo 20000/-
Sahani:......


mambo mengi lazima ujue sio unakurupuka. Lazima hapo ajue anahitaji nni anyways....
Uliyoyaongea ni sahihi kabisa ndugu wala hujakosea.
Kama tukifuata standard kabati tu la vioo litagharimu zaidi ya laki 2 na mtaji utakuwa umepukutika.
Sema tu inategemea hiyo biashara anataka kufanyia mazingira ya wapi.
Kama ni kijijini au uswazi anaweza kuanza kwa kuungaunga kwa kuweka mabenchi chini ya mti,na yeye ofisi yake inakuwa ni kibanda cha mabati.
Wateja wake wanakuwa wale wa kununua chipsi za buku hadi za jero pia mpaka pale.
Atadunduliza hivyo na kukuza mtaji mpaka pale atakapotimiza malengo yake sema tu inahitaji nidhamu ya hali ya juu.
 
Uliyoyaongea ni sahihi kabisa ndugu wala hujakosea.
Kama tukifuata standard kabati tu la vioo litagharimu zaidi ya laki 2 na mtaji utakuwa umepukutika.
Sema tu inategemea hiyo biashara anataka kufanyia mazingira ya wapi.
Kama ni kijijini au uswazi anaweza kuanza kwa kuungaunga kwa kuweka mabenchi chini ya mti,na yeye ofisi yake inakuwa ni kibanda cha mabati.
Wateja wake wanakuwa wale wa kununua chipsi za buku hadi za jero pia mpaka pale.
Atadunduliza hivyo na kukuza mtaji mpaka pale atakapotimiza malengo yake sema tu inahitaji nidhamu ya hali ya juu.
Ili asaidiwe huyu mleta mada angetakiw ajibu kuwa hii biashara anatakiwa aganye wap?
Huwez kusaidiwa kama hafunguki. Pia kuna wengine wako wanataka kufanya hii biashara. Labda anaweza pata partner humu


Unajua ukiwa na nguvu ndogo unaweza usione faida kabisa. Na hela kila siku inapungua thamani kwa sababu vitu vinapanda. Unakuta biashara ya laki 3 ila mpaka u break even ni almost a year 😔
 
Back
Top Bottom