Biashara ya chips

Kwa nini mzee...sasa ndio m ipe points jama i jinsi ya kuhakikisha biashara inadumu
Kama una laki ya mtaji chukua nusu yake ndo iwe mtaji na vifaa usinunue nenda kakodi.....ili ukifirisika urudishe vifaa vya watu
 
Kama una laki ya mtaji chukua nusu yake ndo iwe mtaji na vifaa usinunue nenda kakodi.....ili ukifirisika urudishe vifaa vya watu
Asante. Hili nalo wazo.
Mafuta na gunia la viazi bei ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…